Imewekwa Tarehe: September 1st, 2021
Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mhe. Dkt Vicent Anney amewatembelea na kuwajulia hali wagonjwa katika hospitali ya wilaya Tukuyu (Makandana) huku akiweka jiwe la msingi katika jengo la mama na Mtoto lililopo...
Imewekwa Tarehe: August 20th, 2021
Taarifa ya Utekelezaji wa ilani ya chama tawala (CCM) kwa miezi sita iliyopita imewasilishwa leo tarehe 20.08.2021 na Mkuu wa wilaya ya Rungwe Dkt. Vicent Anney.
Katika taarifa hiyo im...
Imewekwa Tarehe: August 10th, 2021
Mafunzo ya kujengeana uelewa kwa wadau mbalimbali juu ya utekelezaji wa kipindi cha pili cha- TASAF- awamu ya tatu yamezinduliwa leo tarehe 10.8.2021 na Mkuu wa wilaya ya Rungwe Dk. Vicent Anney yakil...