• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Fedha na Biashara

Majukumu ya Idara ya Fedha na Biashara;

  • Inatoa ushauri wa mambo yote yanayohusu fedha;
  • Idara ya Fedha inashirikiana na Idara ya Mipango kuandaa makisio ya mapato na matumizi ya mwaka wa fedha;
  • Kusimamia na kudhibiti mfumo wa kifedha na kutunza nyaraka na kumbukumbu za fedha;
  • Idara ya Fedha inaandaa taarifa zote za fedha zinazohusu mapato na matumizi ukilinganisha na bajeti na kutoa ushauri wa mapato na matumizi kutokana na taarifa hizo;
  • Kuandaa mezania ya hesabu za mwaka wa fedha husika na taarifa zingine za fedha zinazohitajika kwa Waheshimiwa Madiwani;
  • Kuhakikisha mfumo wa ndani wa ki-hasibu (Internal Control) unafanya kazi, kusimamia sheria, kanuni na taratibu zote za fedha;
  • Kusimamia na kutunza mali za Halmashauri na mifumo ya kielektroniki ya mapato na matumizi (EPICOR).

Kitengo cha Biashara:

  • Kuratibu utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni na Taratibu za sekta za Viwanda, Biashara na Masoko katika Mamlaka za Serikali za Mitaa;
  • Kutoa elimu ya ujasiriamali kwa wafanyabiashara wadogo walioko katika sekta binafsi katika eneo lililo chini ya mamlaka ya serikali za mitaa.
  • Kupokea, kuchambua na kuunganisha taarifa za uzalishaji katika sekta ya Viwanda, Biashara na Masoko na kutoa taarifa OWM-TAMISEMI, Wizara ya Viwanda na Biashara na kwenye Sekretarieti za Mikoa na kushauri ipasavyo;
  • Kushauri na kuratibu shughuli za usajili wa shughuli za biashara katika Mamlaka za Serikali za Mitaa (Business Activities Registration) kwa mujibu wa sheria;
  • Kupendekeza namna ya kuboresha mazingira wezeshi ya biashara kwa madhumuni ya kurahisisha taratibu za kuanzisha biashara nchini na kushauri namna ya kuikuza Sekta Binafsi kwa lengo la kuifanya ya ushindani;
  • Kuwasiliana na Wizara/Taasisi na Mashirika yanayosimamia sheria/kanuni za kufanya biashara ili kupata takwimu kwa ajili ya kutathimini mwenendo wa biashara;
  • Kutoa ushauri juu ya mifumo ya kuwakinga wakulima na madhara ya mabadiliko ya bei (community price risk management) kama vile mfumo wa Stakabadhi Ghalani na kuhakikisha unapanuliwa kwa mazao yanayozalishwa na wakulima katika Wilaya na kuinua kipato cha wakulima;
  • Kuratibu maendeleo ya biashara ndogo, kati, kubwa na sekta isiyo rasmi na kutoa taarifa OWM-TAMISEMI, na Wizara ya Viwanda na Biashara na uwekezaji.
  • Kutoa mapendekezo ya kuboresha Sera za sekta za Viwanda, Biashara na Uwekezaji katika ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa na kuratibu mikutano ya kisekta kwa kushirikiana na wizara OWM-TAMISEMI or Mkoa.
  • Kutoa ushauri ya dhana ya wilaya moja zao moja (one village one product concept) kulingana na fursa zilizopo kwa kuzingatia ushindani wa soko (comperative and competitive advantage katika mamlaka za serikali za mitaa.
  • Kutathimini mwenendo wa biashara kwa kuangalia hali ya masoko ya ndani na nje ya nchi na kuandaa chati ya kuonyesha hali ya biashara kwa kipindi cha robo, nusu na mwaka.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa