• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Makala

23/11/2018

SOKO LETU, GULIO LETU

Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe ina masoko na magulio  makubwa ambayo yapo katika kata mbalimbali katika Wilaya ya Rungwe.

Masoko  ambayo ni ya kudumu  na yanayotoa huduma kila siku ni soko la Tandale, Soko kuu la Tukuyu mjini , soko la  Kiwira na soko la Ushirika lililopo Kata ya Mpuguso.

Aidha yapo masoko mengine yajulikanayo kama magulio au Lembuka ambayo hufanyika kwa siku tofauti za wiki katika kata za Halmashauri ya Wilaya  Rungwe. Magulio hayo ni Soko la Lembuka Kiwira, Soko la Tandale, Soko la Ikuti, Soko la K.K (Kyimo), Soko la Igembe Kata ya Lufingo na Kata ya Lupepo Soko la Lugombo ambapo magulio hayo hufanyika kwa siku tofauti za  wiki. Wakulima na wafanya biashara  kutoka  sehemu mbalimbali hufanya biashara katika Masoko (Magulio) hayo.

Aidha katika masoko na magulio yote hayo hufanyika biashara za mazao ya chakula, mifugo, uvuvi,  misitu na bidhaa zinazozalishwa viwandani. Bidhaa hizo hutumika ndani ya Wilaya na nyingine kwenda nje ya Wilaya, nje ya mkoa wa Mbeya na hata kwenda Nchi  jirani za Malawi na Zambia.

Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe  Kupitia Masoko na Magulio,  inanufaika na ukusanyaji wa ushuru na tozo mbalimbali kupitia Magulio na Masoko hayo. Aidha Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe imeweza kujenga miundo mbinu rafiki na wezeshi ili kuweza kufikia Magulio na Masoko hayo kiurahisi. Pia Halmashauri imefanikiwa kujenga Ghala baridi (Cold-room) katika Kata ya Kyimo eneo la Ilenge na  ina mpango wa kujenga Soko Ndizi la kimataifa katika eneo hilo. Ghala hilo litasaidia kutunza bidhaa za matunda ili yaweze kusafirishwa kwenda ndani ya Nchi na Nje ya Nchi  bila kupoteza ubora wake.

SOKO LA GULIO (LEMBUKA) TANDALE

Picha za wafanyabiashara na bidhaa mbalimbali katika Gulio la Tandale.(picha zote na Suzan Mhoja)
















14/10/2018

MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI RUNGWE PAA

MFUKO wa Maendeleo ya jamii (TASAF) katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe  Mkoani Mbeya  jumla   kaya 6,132  zilizoingizwa kwenye  Mpango wa kunusuru kaya Maskini tangu mpango huo uanze mwaka 2015 ili wanufaike.  Mpaka sasa jumla ya walengwa 6,047 ndio wanaonufaka  wa mpango huu kwani kuna baadhi ya wanufaika walifariki na wengine kuondolewa kwenye mpango huo. Wafuatao ni baadhi ya wanufaika wa mpango ambao wameelezea mafanikio yao tangu kujiunga na mpango huu.


Kwa maelezo zaidi soma  hapa chini;

kaya_maskini.pdf


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa