• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

WAFANYABIASHARA WAKUMBUSHWA KULIPA KODI

Imewekwa Tarehe: June 22nd, 2021

Kupitia Radio Chai 105.7 Mhz, Wafanyabiashara katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe wamekumbushwa kuendelea kuhuisha Leseni zao za biashara ikiwa ni pamoja na kupata leseni mpya kwa wale ambao wameshindwa kufanya hivyo ili kujijengea mazingira mazuri ya kufanya shughuli zao za kila siku katika hali ya utulivu.


 Kuelekea Mwisho wa mwaka wa fedha Kiserikali, afisa biashara wilaya bwana Lodrick  Yesaya  Mwakisole pia ameomba wapangaji wanaotumia vibanda vya halmashauri kuhakikisha wanalipa kodi yao mapema ikiwa ni pamoja na  na wale wanaotakiwa kulipa ushuru wa huduma (service levy) kufanya hivyo ifikapo june 23 mwaka huu.


Pamoja na hayo  bwana Mwakisole amesema kuwa wajasiriamali wote  katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe  wenye nia ya kushiriki maonesho ya sabasaba mwaka huu  ambayo kitaifa yatanyika jijini Dar es salaam wanatakiwa kufika katika ofisi ya Mkurugenzi Kitengo cha Biashara ili kupata namna bora ya kushiriki maonesho hayo .


Aidha amewakumbusha  kuendelea kupata vitambulisho vya ujasiriamali  ambavyo kwa sasa vinapatikana  kwa njia ya mfumo ambapo kupitia   simu ya mkononi mnufaika anaweza kujisajili mwenyewe. Pia anaweza kupata msaada wa karibu kupitia kwa watendaji wa kata waliopo katika  maeneo yao. Kitambulisho hiki tofauti na cha awali kina picha ya mnufaika.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa