Imewekwa Tarehe: February 22nd, 2023
Soko/Gulio la ndizi pamoja na bidhaa zingine katika eneo la Mwambenja mkabala na kituo Cha mafuta Lake oil limeanza rasmi Leo tarehe 22.02.2023.
Soko hili lililopo kata ya Ibighi linataraj...
Imewekwa Tarehe: February 22nd, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe. Jaffar Haniu ametembelea vyombo vya habari vilivyopo Wilayani Rungwe na kujionea vipindi mbalimbali vinavyorushwa vituo hivyo sambamba na kuzungumza na wananchi.
...
Imewekwa Tarehe: February 8th, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe.Jaffar Haniu Leo tarehe 07.02.2023 amezindua vyumba sita (06) vya madarasa katika shule ya Msingi Kinyangwa iliyopo Kijiji Cha Katunduru kata ya Ilima.
...