• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Matukio

15/10/2018

 skaut.pdf

MKURUGENZI MTENDAJI HALMASHAURI WILAYA YA RUNGWE ATAMBUA UMUHIMU WA SKAUTI.

Skauti wilayani Rungwe wapewa zawadi na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Rungwe

Bi.Loema  I.Peter, baada ya kuwa washindi katika mashindano mbalimbali ya kimkoa na Kitaifa.

Kimkoa walipata ushindi wa nafasi ya Kwanza baada ya kushiriki shindano la huduma za afya ya mama na mtoto lililofanyika katika uwanja wa Skauti mjini Mbeya tarehe 24 hadi 26/6/ 2018, ambapo kitaifa walishinda nafasi ya pili katika shughuli za utunzaji mazingira na mashindano hayo yalifanyika mjini Morogoro tarehe 17  hadi 23 /8/ 2018.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe alitoa pongezi hizo akiwa na baadhi ya waheshimiwa Madiwani, na Watumishi walio katika makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe tarehe 15/10/2018 katika viwanja vya ofisi ya Mkurugenzi.

Mkurugenzi Mtendaji alishukuru uongozi wa Skauti Wilaya ambao umeonyesha ushirikano mkubwa katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa Taifa pamoja na kushiriki katika Shughuli za Kitaifa kama mapokezi ya Ugeni na Viongozi wa Kitaifa, Mbio za Mwenge wa Uhuru,utunzaji wa Mazingira ikiwa ni kupanda miti maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Rungwe,Kufanya Usafi katika taasisi za serikali,kuzima na kuzuia moto katika hifadhi za mlima Rungwe.

 

Zawadi hizo ni vyeti vya pongezi na kuthamini shughuli zao katika Halmashauri ,pamoja na fedha ambazo zilichangwa na baadhi ya watumishi katika Halmashauri ikiwa kama ni pongezi na shukrani.

 Zifuatazo ni picha mbalimbali za matukio ya hafla ya kupokea zawadi na pongezi.

    


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa