• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Ujenzi

MUUNDO WA IDARA YA UJENZI NA MAJUKUMU WAHANDISI  WATENDAJI (EXECUTIVE ENGINEERS)

Mhandisi Mtendaji Ujenzi (Executive Civil) daraja la II

  • Atafanya kazi chini ya uangalizi wa Mhandisi aliyesajiliwa (Professional engineer) na bodi ya usajili ya wahandisi ili kupata uzoefu unaotakiwa.
  • Kufanya ukaguzi wa barabara, madaraja na majengo mbalimbali
  • Kuchunguza vyanzo vya ajali barabarani.
  • Kufuatilia utekelezaji wa sheria na kanuni za ujenzi wa barabara na majengo
  • Kutayarisha bajeti ya mwaka ya ujenzi na matengenezo ya barabara, madaraja na majengo.
  • Kusimamia na kuratibu kazi za Barabara/Madaraja na majengo zinazotolewa na Makandarasi.
  • Mhandisi Mtendaji  Ujenzi (Executive Civil) daraja la I

  • Kutoa ushauri na usimamizi wa kazi za ujenzi wa miradi ya barabara/madaraja na majengo.
  • Kutayarisha taarifa za maendeleo ya miradi za mwezi, robo mwaka, nusu mwaka na mwaka mzima ili kueleza maendeleo ya kazi za ujenzi wa barabara, madaraja, nyumba ikijumuisha miradi iliyokamilika na inayoendelea.
  • Mhandisi Mtendaji Mwandamizi ujenzi (Senior Executive Engineer Civil)

  • Kusimamia utekelezaji wa sheria, kanuni za barabara/madaraja na majengo na kuchukua hatua dhidi ya ukiukwaji.
  • Kusimamia utekelezaji wa miradi ya ujenzi na matengenezo ya barabara, madaraja na majengo.
  • Kutayarisha taratibu za ununuzi na kuandaa mikataba kwa ajili ya usanifu, ukarabati na kuinua viwango vya ujenzi wa barabara/madaraja na majengo.
  • Kutayarisha mipango ya mwaka pamoja na bajeti ya ujenzi na ukarabati wa barabara, madaraja na majengo.
  • Mhandisi Mtendaji Mkuu Ujenzi (Principal Executive Engineer Civil) daraja la II

  • Kutathimini utekelezaji wa sera na sheria za kujenga, kukarabati barabara, madaraja na majengo.
  • Kufanya uchambuzi wa kina wa taarifa na takwimu za kujenga/ kukarabati barabara, madaraja na majengo.
  • Kubuni, kusimamia na kuratibu utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwenye sekta ya ujenzi wa barabara, madaraja na majengo.
  • Anaweza kuteuliwa kuongoza Idara kwenye Wizara.
  • Mhandisi Mtendaji Mkuu Ujenzi (Prinzipal Executive Engineer Civil) daraja la I

  • Kusimamia maendeleo ya taaluma ya kiuhandisi katika sekta ya ujenzi wa barabara na mipango.
  • Kutoa ushauri kuhusu sera ya sekta ya ujenzi na ku………( review), sera, sheria na kanuni zake.
  • Kusimamia mfumo wa sheria ya sekta ya ujenzi pamoja na kanuni na taratibu kwa nia ya kuboresha ujenzi wa barabara, madaraja na majengo.
  • Kuratibu na kushauri mfumo wa matumizi bora ya barabara, watembea kwa miguu na wanaoendesha magari ili kuzuia ajali za barabarani.
  • Kusimamia utekelezaji wa makubaliano ya mikataba inayoihusisha serikali katika masuala ya ujenzi wa barabara na majengo.
  • Mtumishi wa ngazi hii anaweza kuongoza Idara.
  • Mafundi Sanifu Ujenzi (Civil Technicians)

  • Fundi  Sanifu Ujenzi Daraja la II

  • Kufanya kazi za ujenzi wa kuta za nyumba na kupaka rangi na kufunga mabomba.
  • Kuchonga vifaa vya nyumba za serikali ikiwa ni pamoja na samani “furniture”
  • Kufanya kazi za upimaji (survey) wa barabara,, majengo na mifereji kama atakavyoelekeza.
  • Kuwapangia kazi mafundi sanifu wasaidizi na kuhakikisha wanamaliza kazi iliyopangwa.
  • Fundi sanifu Ujenzi daraja la I
  • Kufanya kazi za ujenzi wa nyumba za serikali, barabara na makalavati
  • Kusimamia ujenzi wa miradi ya barabara, majengo na madaraja  unaofanywa na wakandarasi wadogo wadogo.
  • Kusimamia mafundi wa vikosi vinavyokarabati nyumba za serikali na barabara.
  • Kufanya makisio ya gharama na vifaa vya miradi midogo midogo.
  • Fundi sanifu ujenzi Mwandamizi

  • Kufanya ukaguzi wa ujenzi wa majengo ya serikali na barabara
  • Kuandaa ripoti za utekelezaji wa miradi na kiwango kilichofikiwa kwa kila kipindi cha miezi mitatu.
  • Kuandaa makisio  ya gharama ya matengenezo ya majengo, barabara na madaraja kwa kila mwaka.
  • Kuandaa “Action plan” na kuhakikisha inafuatwa na walio chini yake.
  • Fundi Sanifu Ujenzi Mkuu

  • Kuratibu kazi zote zinazofanywa na wale waliopo chini yake;
  • Kuhakikisha kwamba shughuli za miradi ya majengo, barabara na madaraja zinatekelezwa kama ilivyopangwa.
  • Kutayarisha mpango mzima wa gharama za miradi yote na kushauri uongozi wa juu ipasavyo:-
  • Kuratibu utekelezaji wa miradi kulingana na michoro waliyopewa kutumia na endapo upo utata atashauri uongozi wa juu ili kufanya mabadiliko kurahisha utekelezaji wake.
  • Kufanya kazi nyingine kama atakavyopangiwa
  • Mafundi Sanifu Ufundi na Umeme (Mechanical & Electrical Technicians)

  • Fundi sanifu ufundi na umeme daraja II

  • Kufanya ukaguzi wa ubora wa magari ya serikali na kurekebisha ipasavyo
  • Kufanya upimaji wa mitambo na umeme kufuatana na maelekezo ya mhandisi.
  • Kufanya kazi ya kutengneza mitambo, magari na vifaa vya umeme
  • Kufanya usanifu wa miradi midogo midogo ya umeme, kusimamia jinsi ya kufunga mashine mpya zinazowekwa kwenye karakana za ufundi na umeme.
  • Fundi Sanifu Ufundi na Umeme daraja I

  • Kufanya makisio ya gharama na vifaa kwa miradi midogo midogo ya ufundi na kuweka umeme kwenye nyumba za serikali.
  • Kuongeza mafundi katika kazi kwenye karakana “Mechanical and Electrical” kufanya matengenezo ya mara kwa mara ya umeme kwenye nyumba za serikali.
  • Kuendeleza miradi iliyokamilika na kufanya matengenezo ya magari majokofu na viyoyozi.
  • Kufanya ukaguzi wa matengenezo ya mitambo, magari n.k.
  • Fundi Sanifu Ufundi na Umeme Mwandamizi.

  • Kuandaa ripoti za utekelezaji ili kujua kiwango kilichofikiwa, kwa kila kipindi cha miezi mitatumitatu.
  • Kuandaa makisio ya gharama ya mahitaji ya vipuri kwa ajili ya matengenezo ya mitambo, magari na vyombo vya umeme.
  • Kuandaa “action plan” na kuhakikisha inafuatwa na walio chini yake
  • Fundi sanifu Ufundi na Umeme Mkuu

  • Kuratibu kazi zote zinazofanywa na wale waliopo chini yake.
  • Kuhakikisha kwamba shughuli za matengenezo ya mitambo, magari na vifaa vya umeme inatekelezwa kama ilivyopangwa.
  • Kutayarisha mpango mzima na gharama za matengenezo na kushauri uongozi wa juu ipasavyo.
  • Kuratibu utekelezaji wa matengenezo, matatizo  yanayojitokeza na kushauri uongozi wa juu ili ikibidi kufanya mabadiliko kurahisisha utekelezaji wake.
  • Kufanya kazi nyingine kama atakavyopangiwa.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa