• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

KAMATI YA BUNGE YAPONGEZA UJENZI WA BARABARA YA MASEBE -LUTETE

Imewekwa Tarehe: March 15th, 2022

Kamati ya Uongozi na Serikali za Mitaa ya Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania leo tarehe 15.03.2022 ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Abdala Chaurembo (MB) Mbele ya Waziri wa Ofisi ya Rais TAMISEMI  Mhe. Inocent Bashungwa imefanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe na kukagua barabara ya kiwango cha Lami (MASEBE-LUTETE KM 7 na MPUGUSO- BUGOBA KM 5).

Katika Ziara hiyo kamati  imepongeza ujenzi wa barabara hiyo kwani kwa kufanya hivyo wakazi wa kata ya Mpuguso, Ilima na Kisondela wamefunguliwa fursa ya kiuchumi sambamba na ustawi wa jamii katika utoaji wa huduma ya afya, elimu, kilimo, ufugaji na uwekezaji katika sekta ya Viwanda.

Aidha Waziri wa Ofisi ya Rais TAMISEMI  Mhe. Inocent Bashungwa ameileza kamati hiyo kuwa Serikali Kupitia TANROAD  ipo mbioni kukamilisha kipande cha Mita 800 kilichobaki kuanzia Ushirika mpaka Shule ya Msingi Masebe ili kuifanya barabara hiyo kupitika kwa urahisi  kwa zaidi ya km 8.

Hata hivyo Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera ameieleza kamati hiyo kuwa barabara zote zinazojengwa kwa kiwango cha lami imeelekezwa kuwekewa taa za barabarani ili kuongeza usalama wa uraia na mali zao wakati wa usiku na tayari baadhi ya miji maelekezo hayo yameanza  kutekelezwa.

Barabara ya Masebe- Lutete- Bugoba imejengwa na Wakala wa barabara vijijini (TARURA)  kwa msaada wa Umoja wa Ulaya (EUROPEAN UNION) na imegharimu zaidi ya shilingi Billion 2.5.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa