• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

RC AKUTANA NA WATUMISHI

Imewekwa Tarehe: June 14th, 2021


Rungwe District Council


 ·  Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Juma Homera leo mapema tarehe 14.6.2021 amekutana na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe ambapo ameagiza kila mtumishi kufanya kazi Kwa bidii huku akiongeza ubunifu wenye kuleta tija na manufaa Kwa wananchi.

Aidha ameipongeza Halmashauri Kwa kukusanya MAPATO Kwa ufanisi  mkubwa hadi kufikia asilimia 93% hali itakayochochea Maendeleo Kwa mwananchi mmojammoja na taifa Kwa ujumla .


" Menejimenti na watumishi wote mmefanya kazi kubwa ya kukusanya mapato, hongera Sana!   Niwaagize sasa watendaji wa kata kuleta marejesho Kwa wakati  kwa kuwa hizi ni fedha za umma"


"Naamini asilimia Saba iliyobaki inaweza kumalizika haraka iwapo ukusanyaji wa MAPATO ukifanyika Kwa bidii Kwa siku chache zilizobaki kufunga mwaka huu wa fedha"


Akimkaribisha Mkuu wa Mkoa, Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Bi. Angelina Lutambi (Kwenye skafu katikakati)  ameomba watumishi wote kutoa huduma bora Kwa wananchi, kuzingatia uadilifu kazini,  kutenda haki ikiwa ni pamoja na kujenga mahusiano mazuri kazini.

Hata hivyo Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe. Julius Chalya amesema kuwa watumishi wameendea kufanya kazi Kwa bidii huku miradi kadhaa ikitekelezwa akiutaja mradi mkubwa kupanua Chanzo cha maji Ikama ( MTO Mbaka) ambao utaharakisha usambazaji wa  maji katika Mji wa Tukuyu ambapo katika hatua za awali jumla ya shilingi Million  500 zinatarajiwa kutumika.


Awali Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Bi. Loema Peter amesema kuwa Rungwe ina jumla ya watumishi wenye ajira ya kudumu wapatao 3226 na vibarua 82 na serikali imeendelea kulipa madai ya watumishi mbalimbali  pamoja na promosheni ikiwa ni hatua ya kuongeza ari na ufanisi kazini.







Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa