• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

SIKU YA MTOTO AFRIKA YAFANYIKA KATA YA NKUNGA

Imewekwa Tarehe: June 16th, 2021

Maadhimisho ya siku ya mtoto  wa Afrika kiwilaya  yamefanyika Leo tarehe 16.6.2021 katika shule ya msingi Ibililo  iliyopo kata ya kata ya Nkunga.

Katibu tawala wilaya ya Rungwe bwana Mnkondo Bendera ndiye alikuwa mgeni rasmi ambapo ameagiza kila mzazi kuhakikisha analinda haki za watoto Kwa kutoa chakula shuleni, kutoa elimu stahiki Kwa watoto, kuwaepusha watoto na ndoa za utotoni hii ikiwa ni pamoja kuwaondolea vitendo vyote vya unyanyasaji

." Mitaala lazima iandaliwe ipasavyo ili maarifa wanayokosa nyumbani wayapate shuleni, na hii itawajengea uwezo mkubwa wa kupambana na mazingira yanayowazunguka" . 

Ameongeza bwana Bendera.

Hata hivyo Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya wilaya ya Rungwe  bwana Omary Mungi amewakumbusha wazazi kuendelea kuzuia vitendo vyote vya ukatili dhidi ya watoto ikiwa ni pamoja na kuwapa mahitaji yote muhimu ya kibinadamu yakiwemo  chakula chenye viini lishe na  malazi bora.

Katika maadhimisho haya pamoja na elimu, burudani vilivyotolewa pia zawadi kadhaa zimetolewa Kwa wanafunzi waliofanya vizuri darasani huku Mgeni rasmi akiahidi kumnunulia sare za  shule pamoja na mahitaji mengine muhimu  Mwanafunzi Stain Lighton  (ke) wa Shule ya Msingi Matweli anayesoma darasa la kwanza baada ya kushika nafasi ya kwanza Kwa misimu yote mfululizo.

Mwanafunzi huyo ambaye pia ana changamoto ya kutembea (mlemavu) ameshukuru msaada huo kwani utafungua ukurasa na safari yake rahisi ya kujipatia elimu.

Maadhimisho haya ni kumbukizi ya madhila waliyowapata  watoto katika kitongoji cha Soweto  nchini Afrika Kusini mwaka 1976 na rasmi maadhimisho haya yalianza mwaka 1991 katika bara zima la Afrika

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa