• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

DED ATOA MSAADA WA KOMPYUTA

Imewekwa Tarehe: March 18th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya ya Rungwe Bwana Renatus Mchau  (hayupo pichani) amenunua na kumpatia kompyuta mpakato(laptop) mwanafunzi  Samwel Mwakamele kidato cha pili wa shule ya sekondari Kiwira  ikiwa ni jitihada ya kurahisisha ujifunzaji kwa mwanafunzi huyo.

Kompyuta hiyo imegharimu kiasi cha shilingi laki 8.5

Mwanafunzi huyo mwenye ulemavu wa viungo ameshukuru msaada huo kwani utamsaidia kuandalia masomo yake na kujibia mitihani.

"Mkurugenzi huyu Mungu ambariki sana angeweza kuwapa watoto wake, lakini amenikumbuka mimi muhitaji kwa kweli namshuru sana" Ameongeza.

Hata hivyo mzazi wa mtoto huyo Bi. Itika Mwakamele amehamasisha wazazi wote Wilayani Rungwe kutowaficha watoto wenye ulemavu badala yake wawapeleke shuleni ili kuwajengea maarifa na ujuzi mbalimbali.

Samwel Mwakamele anaulemavu wa viungo ambapo hawezi kuandika kwa mikono lakini kompyuta hii inaenda kurahisisha ujifunzaji baada ya walimu wake kumfundisha namna ya kuitumia.

Awali Samwel alisoma shule ya msingi Mpandapanda na kufaulu kwa daraja C kisha alijiunga na shule ya Sekondari Mwakaleli kabla kuhamishiwa Kiwira.

BABA AMTOROKA MAMAMwaka 2006 baada ya Samwel Kuzaliwa baba yake mzazi alimtelekeza pamoja na mama yake mpaka sasa hajulikani alipo.

SHULE NA MAMA WAJENGA NYUMBA

Ili kumpunguzia Samwel kusafiri umbali mrefu kufuata huduma ya elimu,  Mama yake Mzazi kwa kushirikiana na uongozi wa shule wamejenga nyumba ya makazi ambapo pamoja wote wataishi hapo huku akifuatilia maendeleo yake kwa karibu mpaka atakapohitimu elimu ya sekondari.

NAMNA ALIVYOHITIMU ELIMU YA MSINGI

Mkuu wa shule ya Sekondari Kiwira  Mwal. Msafiri anaeleza kuwa mwanafunzi huyo alipewa mtihani wa kijieleza (oral examination) na hatua zingine  aliandika mwenyewe na hivyo kupata ushindi hatimaye kuchaguliwa elimu ya sekondari.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa