• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Elimu Sekondari

MAJUKUMU YA IDARA YA ELIMU SEKONDARI.

  • Kuwakilisha Wizara ya Elimu, Sayansi n teknolojia nat katika ngazi zote
  • Kufafanua na kusimamia utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo, Sheria na Kanuni katika Elimu ya Watu Wazima na Ufundi Stadi.
  • Kutoa ushauri wa kitalaamu kwa Halmashauri ya Wilaya, Mji au Manispaa kuhusu masuala yote ya kielimu.
  • Kudhibiti matumizi ya fedha za elimu kwa mujibu wa miongozo ya fedha za Serikali.
  • Kushughulikia upanuzi wa Elimu katika ngazi ya Elimu ya Awali, Elimu ya Msingi, Elimu ya Sekondari, Mafunzo ya Ualimu, Elimu ya Watu Wazima na Vituo vya Ufundi Stadi.
  • Kufuatilia kwa madhumuni ya kutathmini maendeleo ya Elimu katika Wilaya.
  • Kutayarisha na kusimamia utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya Elimu kila mwaka.
  • Kuhakikisha kwamba shule zote zinaboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia.
  • Kuhimiza udhibiti wa nidhamu ya walimu na wanafunzi wilayani.
  • Kusimamia maslahi ya walimu.
  • Kuratibu na kusimamia mitihani ya Darasa la Nne, Darasa la Saba , Kidato cha Nne, Kidato cha Sita, Mafunzo ya Ualimu na Mitihani ya Vituo vya Ufundi Stadi katika wilaya kwa kushirikiana na Uongozi wa Elimu Mkoa na Baraza la Mitihani la Tanzania .
  • Kufuatilia Utekelezaji wa taarifa za Ukaguzi wa Shule na Vyuo.
  • Kusimamia Maendeleo ya Taaluma katika wilaya.
  • Kukusanya, kuratibu na kuchambua takwimu za elimu katika Wilaya kwa ajili ya Mipango ya Maendeleo katika ngazi ya Shule, Wilaya, Mkoa na Taifa.
  • Ni Katibu wa Kamati ya elimu na Utamaduni ya Halmashauri ya Wilaya/Mji/Manispaa kufuatana na kifungu cha 2 cha Sheria ya Elimu Na. 25 ya mwaka 1978 na kurekebishwa mwaka 1995.
  • Kufanya kazi nyingine kama utakavyoelekezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya.

TAALUMA:

  • Kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa taarifa za ukaguzi wa shule za sekondari.
  • Kuratibu na kusimamia mitihani ya kitaifa inayoendeshwa kwa shule za Sekondari katika Halmashauri.
  • Kubuni mipango ya mitihani ya elimu ya sekondari na kusimamia utekelezaji wake.
  • Kuhakikisha kuwa walimu na watumishi wengine wa shule za sekondari wanafanyiwa tathmini ya wazi ya utendaji kazi (Open Performance Review and Appraisal System) – OPRAS
  • Kubuni na kuratibu mipango ya mafunzo kazini kwaa walimu na watumishi wengine wa shule za Sekondari.
  • Kuratibu mashindano ya michezo na taaluma ya Shule za sekondari katika Halmashauri.
  • Kusimamia maendeleo ya taaluma na michezo ya shule za sekondari katika Halmashauri.
  • Kuhakikisha walimu wa Shule za sekondari wanapangiwa katika shiule kwa kuzingatia ikamainayokubalika.
  • Kufanya kazzi nyingine nitakazopewa na Mkurugenzi wa Halmashauri au Afisa Elimu wa Elimu ya Sekondari wa Halmashauri.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa