Imewekwa Tarehe: September 11th, 2019
Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe ilipokea Mwenge wa Uhuru tarehe 07/09/2019 na kukabidhi kwa Halmashauri ya Jiji la Mbeya tarehe 8/09/2019. Mwenge wa Uhuru ulikagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi k...
Imewekwa Tarehe: February 27th, 2019
Baraza la Kazi Madiwani limefanya mkutano wake wa kawaida tarehe 27/02/2019 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe.
Mkutano huo ulijadili taarifa mbalimbali za maendeleo...