• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA WAPAMBA MOTO

Imewekwa Tarehe: November 22nd, 2022


Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe  Bwana Renatus Mchau ameongoza jopo la Watalamu katika ukaguzi wa miradi ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule nne za Sekondari  shule ya Msingi  Moja pamoja na zahanati mapema Leo  tarehe 21.11.2022.



Shule hizo ni pamoja na Sekondari ya Kyobo, Nkunga, Isaka na Ndembela one na shule ya Msingi Ikuti.



Zahanati iliyokaguliwa ni Kakindu iliyopo katika Kijiji Cha Lupepo kata ya Lupepo.



Ikumbukwe kuwa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan imetoa kiasi Cha shilingi million 200 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 10 vya madarasa.



Shule zilizonufaika ni pamoja na Isaka, Kayuki, Igogwe, Kibisi, Ndembela one, Nkunga, Kyobo na Ziwa Ngosi.



Katika shule zote ujenzi upo katika hatua ya ukamilishaji hali itakayosaidia wanafunzi watakaojiunga na kidato Cha kwanza Mwakani January 2023 kupata mazingira mazuri ya kusomea na kujifunza.



Akikagua miradi hiyo Bwana Mchau ameagiza kamati  zinazosimamia ujenzi huo kufanya kazi usiku na mchana ili kusaidia miradi hiyo kukamilika kwa wakati na hivyo kuleta tija na maendeleo kwa wanafunzi.



Aidha amearifu kuwa tayari zahanati ya Kakindu imepata kiasi Cha shilingi million 25 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba hali itakayosaidia upatikanaji wa huduma ya matibabu katika mazingira ya karibu zaidi.



Hata hivyo wakazi wa Kitongoji Cha Kakindu wamepongeza juhudi za Serikali katika kuhakikisha wanapata afya bora na stahiki kwa kuwapatia kiasi Cha shilingi million 50 kwa ajili ya ukamilishaji wa zahanati hiyo sambamba na million 50 zingine wanazotarajia kuzipata hivi karibuni kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya watumishi.


Matangazo

  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 14, 2022
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2023 December 14, 2022
  • FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO ZILIZOPOKELEWA KWA KIPINDI CHA MWEZI MARCH HADI JUNE, 2022 July 04, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI May 25, 2022
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • "POLICE DAY" YAFANYIKA RUNGWE

    January 20, 2023
  • RASIMU YA BAJETI 2023/24 YAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI

    January 06, 2023
  • VISHIKWAMBI KUBORESHA ELIMU SHULENI

    January 13, 2023
  • ZAO LA VANILA LINAVYOKUA KWA KASI WILAYANI RUNGWE

    January 02, 2023
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa