• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

KITUO CHA AFYA KYIMO CHAZINDULIWA

Imewekwa Tarehe: June 17th, 2023

Mamia ya wakazi wa kata ya Kyimo wamejitokeza kwa wingi katika uzinduzi wa kituo cha afya Kyimo.


Uzinduzi umeongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Rungwe Mhe.Mpogigwa Mwankuga.


Uzinduzi umehusisha pia viongozi wa kidini, Machifu, Vyama vya kisiasa pamoja vikundi vya burudani.


Akizindua  kituo hiki Mhe.Mwankuga  ameeleza   kuwa Serikali imetoa zaidi ya shilingi Million 700 kwa ajili ya ujenzi wa kituo hiki hii ikihusisha pia ujenzi wa nyumba ya watumishi wa afya ambayo imegharimu kiasi cha shilingi million 90


Pamoja na hayo amewakumbusha wakazi wa kata ya Kyimo kujiunga na Bima iliyoboreshwa ikiwa ni nyenzo muhimu ya kupata huduma bora na kwa ufanisi zaidi.


Aidha amewasisitiza wakazi wa kata hii na Rungwe kwa ujumla kujitokeza na kupima afya zao ili kujijengea maisha endelevu na Uzalishaji mali.


Zaidi ya Wagonjwa 60 wamejitokeza na kupima afya zao sambamba na kupata matibabu  mbalimbali ikiwemo huduma ya chanjo pamoja   matibabu ya watoto.


Pamoja hayo  Mkurugenzi Mtendaji Halimashauri ya wilaya ya Rungwe Bwana Renatus Mchau ameeleza kuwa serikali imeendelea na ujenzi wa vituo mbalimbali Wilayani Rungwe ikiwemo kituo cha Afya Ndanto, Iponjola, Kinyala na Kiwira pamoja na jengo la wagonjwa wa nje ghorofa moja katika hospitali ya wilaya Tukuyu kwa zaidi ya shilingi Billion 2.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa