• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

NAFASI YA MWANAMKE KATIKA JAMII YAKAMILIKA NDANTO

Imewekwa Tarehe: December 16th, 2022

-NAFASI YA MWANAMKE KATIKA JAMII- NJOO UIONE

Ipo dhana potofu katika jamii kuwa zipo kazi ambazo Wanawake hawaruhusiwi kuzifanya na kuwa zimetengwa kwa ajili ya wanaume tu.


Stela Seme (28) Mama  na mkazi wa Kijiji Cha Ntokela tarafa ya Ukukwe ameweka kando Imani hiyo.


Stela ambaye ni mke na mama mwenye watoto wawili anaeleza kuwa shughuli ya ujenzi  aliianza kama  fundi msaidizi mwaka 2018 jijini Mbeya  nafasi iliyo mpa fursa ya  kupata ujuzi na maarifa ya namna ya kujenga nyumba kutoka hatua msingi mpaka ukamilishaji.


Anaeleza kuwa awali aliona kazi ngumu huku akikatishwa tamaa  na rafiki zake lakini kwa kuwa alikuwa na malengo mahususi na kazi yake ndoto yake ilitimia.


Stela Seme Sasa ni fundi makini na mwenye weledi wa kufurahisha.


"Niliambiwa kazi hiyo ngumu, unaacha kazi ya kuuza viazi unakimbilia kujenga!  hakika hutaweza. Lakini sikuwasikiliza. Ameeleza Stela.


Ujuzi alioupata umemuwezesha kushiriki ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Mbeya,  na Kituo Cha afya Ndanto ambapo anaendelea na hatua ya ujenzi jengo la kufulia.


Aidha  ameshiriki kujenga nyumba mbalimbali jijini Mbeya , Songwe na Rungwe.


Stela anaeleza  kuwa kazi hiyo imemnufaisha kwa kumuwezesha kujenga nyumba yake ya Kuishi, kununua mashamba na kusomesha watoto.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa