Imewekwa Tarehe: February 27th, 2019
Baraza la Kazi Madiwani limefanya mkutano wake wa kawaida tarehe 27/02/2019 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe.
Mkutano huo ulijadili taarifa mbalimbali za maendeleo...
Imewekwa Tarehe: February 5th, 2019
Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe inatakeleza Ilani ya Chama cha Mapinduzi katika uwezeshaji wa wanawake, vijana na walemavu kiuchumi kwa kuwapatia mikopo isiyokuwa na riba kuanzia mwaka wa fedha ...