• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

WAFUGAJI WAPATIWA ELIMU

Imewekwa Tarehe: January 10th, 2026

Kupitia Mpango wa  Serikali  chini ya Wizara ya Kilimo na Mifugo @@wizara_ya_kilimo leo tarehe 10.1.2026 wafugaji katika kata ya Lufingo kijiji cha Kalalo wametambulishwa  Mpango wa KOPA  ng'ombe LIPA  ng'ombe ambapo katika kata hii kwa hatua ya mwanzo jumla ya vijiji viwili vitanufaika


Vijiji hivyo ni pamoja na Kalalo na Itete ambapo jumla ya ngombe 43 watapatiwa wanufaika


  Wanufaika watajiunga katika vikundi/ Ushirika ambapo itakuwa rahisi kuwatambua  wenye sifa stahiki ya kupata ng'ombe kupitia Mkutano mkuu wa Kijiji


SIFA ZA WANUFAIKA


✓Awe na kipato cha chini,

✓Awe anapenda kufuga lakini hana Ng'ombe kwa sababu ya kipato kidogo

✓Awe na shamba la malisho


✓ Awe tayari kuhudumia mifugo


✓Awe tayari kutoa ng'ombe kwa mtu mwingine


✓Awe tayari kushiriki mafunzo ya shamba darasa kwa zaidi ya asilimia 95%


✓Awe tayari kuuza maziwa kupitia kikundi na chama cha Ushirika


Aidha Mradi huu utawezesha Maabara kwa ajili ya kupima afya ya mifugo, Vifaa vya usafiri na vipimo kwa  Maafisa mifugo, na mengine mengi

Matangazo

  • MWALIKO WA ZABUNI UJENZI NA UENDESHAJI MADUKA KIWIRA October 01, 2025
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGA NA KUENDESHA KITUO CHA MAFUTA October 01, 2025
  • KUITWA KWENYE MAFUNZO WATENDAJI KITUO CHA KUPIGIA KURA October 24, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA October 04, 2022
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • WAFUGAJI WAPATIWA ELIMU

    January 10, 2026
  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI HOSPITALI YA TUKUYU

    October 12, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU

    October 05, 2025
  • MAJESHI YAFANYA MAZOEZI YA PAMOJA

    October 05, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa