• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

ZAO LA VANILA LINAVYOKUA KWA KASI WILAYANI RUNGWE

Imewekwa Tarehe: January 2nd, 2023

Kilimo cha zao la Vanila katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe kimeendelea kushika kasi.


Miaka mitatu tangu zao hili liasisiwe Wilayani hapa matunda yameanza kuonekana.


Mboka Mwakatumbula mkazi wa kata ya Kyimo anaeleza kuwa juhudi, maarifa na ufuatiliaji wa namna bora ya uzalishaji wa Vanila umesaidia kufikia kiwango kizuri Cha uzalishaji wa zao hilo.


Vanila ambayo hustahimili katika joto la wastani wa sentigredi 25- 35 , Mwinuko wa Mita 1000- 1500 kutoka usawa wa Bahari na mvua ya Wastani wa Millita 2500-5000 kwa mwaka imepelekea kata ya Kyimo, Ikuti, Bagamoyo, Kinyala, Iponjola, Nkunga, Malindo, Suma, Masoko, Kisondela, Msasani, Makandana,  Lufingo kunufaika na zao hili.


Bwana Juma Mzara Mtalaamu wa mazao katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe ameeleza kuwa mpaka Sasa zaidi ya miche 61,000 imepandwa na kuwafikia wakulima 1000 huku lengo likiwa ni kuwafikia wakulima wote.


Kwa Sasa vikinyo/ miche inapatikana katika kituo Cha kilimo kilichopo katika Kijiji Cha Ilenge (Sogea).


Soko kubwa la Vanila linapatikana katika nchi za ulaya, Amerika na Asia.


Bei imekuwa ikibadilika kulingana na mahitaji ya soko la  dunia. Mathalani Kilo Moja mwaka 2019 iliuzwa kati ya shilingi 100,000- 150,000 kwa kilo moja.


Vanila huzalishwa zaidi katika Mkoa wa Kagera, Zanzibar, Morogoro, Kilimanjaro, Tanga na Arusha na Sasa Rungwe Mbeya.


Vanila hutumika kama kiungo na kuongeza radha katika vinywaji kama juisi, yogati,   pamoja na biskuti, keki, iskrimu, na vyakula mbalimbali.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa