• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI HOSPITALI YA TUKUYU

Imewekwa Tarehe: October 12th, 2025

Makandana Hospitali


Msafara Mwenge wa uhuru wilayani Rungwe umetembelea na kukagua ujenzi unaoendelea wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD) katika hospitali ya Wilaya ya Rungwe, Makandana.


Mwenge wa Uhuru umeweka Jiwe la Msingi katika Jengo hili la ghorofa Mbili.



Kwa niaba ya Mkurugenzi mtendaji wa Wilaya ya Rungwe Dr Diocles Ngaiza ameeleza kuwa ujenzi huo unatarajia kugharimu kiasi cha shilingi cha zaidi ya shilingi  bilioni 2 mpaka kukamilika kwake .


 Jengo hili litakapokamilika linatarajiwa kuongeza ubora wa huduma  hasa kwa mama na mtoto


Aidha Dr Ngaiza ameishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha kwaajili ya ujenzi wa hospitali hii kongwe katika wilaya ya Rungwe

Matangazo

  • MAPOKEZI YA FEDHA KWA AJILI YA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO September 14, 2025
  • MWALIKO WA ZABUNI UJENZI NA UENDESHAJI MADUKA KIWIRA October 01, 2025
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGA NA KUENDESHA KITUO CHA MAFUTA October 01, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA October 04, 2022
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI HOSPITALI YA TUKUYU

    October 12, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU

    October 05, 2025
  • MAJESHI YAFANYA MAZOEZI YA PAMOJA

    October 05, 2025
  • DED RUNGWE APOKEA MAKOMBE NA MEDALI

    October 05, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa