• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

ZAHANATI YA SUMA YASOMA MAPATO NA MATUMIZI

Imewekwa Tarehe: March 22nd, 2023

Kamati ya Usimamizi  zahanati ya Suma iliyopo kata ya Suma imeketi leo tarehe 22.03.2023 lengo mahususi likiwa ni upatikanaji wa dawa katika zahanati hiyo, taarifa ya fedha na Mabadiliko ya kiingilio cha kumuona Mganga.


Katibu wa kikao hicho ambaye pia ni mganga Mfawidhi wa Zahanati hiyo Dr.Liberty Manyika ameeleza kuwa katika robo hii kuanzia mwezi  Januari -Machi 2023 hali ya upatikanaji wa dawa katika zahanati hii imeendelea kuwa nzuri hali iliyosaidia kuimarisha afya ya jamii na kuongeza ustawi bora wa wananchi.


Aidha imeelezwa Kuwa katika kipindi hicho zahanati kiasi cha shilingi million 3,317,618.49 fedha zilizotokana na Mfuko wa bima ya afya, Malipo ya papo kwa papo, na Mfuko kabambe wa afya(HSBF).


Pamoja na mambo mengine mapato hayo yamewezesha Ununuzi wa vifaa vya usafi, kulipia ankara ya umeme, na kuwezesha shughuli za lishe, chanjo, huduma ya mkoba,


Katika hatua nyingine kikao kimeridhia na kupitisha ada ya kumuona Mganga ambapo kwa ngazi ya zahanati  na Vituo vya afya itakuwa shilingi 3000/=, na Hospitali ya wilaya itakuwa 5,000/=

Awali gharama ilikuwa shilingi 8000 kwa zahanati, vituo vya afya, na hospitali ya awali hatua ya sasa itaongeza unafuu kwa wananchi na hivyo kumudu matibabu.


Mabadiliko haya yataanza kutekelezwa kuanzia tarehe 01 Aprili 2023 katika maeneo yote ya kutolea huduma ya afya katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe.


Aidha kikao hicho pia kimehudhuriwa na wajumbe kutoka Mpango wa Uimarishaji utawala bora na Ushirikishwaji wa wananchi (PS3) ambapo kikao kimeshauriwa yafuatayo:


✓Kuhakikisha taarifa ya mapato na matumizi inasomwa kila robo na kubandikwa kwenye mbao za matangazo katika zahanati, sokoni, maeneo ya ibada, ofisi ya kata, vijiji na vitongoji.

✓Kuimarisha mifumo ya ukusanyaji mapato sambamba na utoaji huduma bora kwa wananchi


✓Ushirikishwaji wa wananchi katika mipango ya maendeleo ya zahanati yao.


✓ Kuwahamasisha wananchi kujiunga na kutumia  bima ya afya ya Taifa na ile iliyoboreshwa (NHIF&ICHF) ili kuwapunguzia gharama ya matibabu na kuongeza mapato ya zahanati.


Kikao hicho kilichohudhuriwa  pia na Katibu wa afya Mkoa wa Mbeya Bi.Hobokela Mwimbe kimejumuisha wajumbe sita kutoka vijiji vya Kituli, Suma, Busona na Malamba pamoja na Mtendaji wa kata hiyo.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa