• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

WEO KISONDELA AISHUKURU OFISI YA MKURUGENZI

Imewekwa Tarehe: August 6th, 2021

Mtendaji wa kata ya Kisondela Bi.  Sara Kamagi ameishukuru Ofisi ya Mkurugenzi  Mtendaji Halmashauri ya wilaya ya Rungwe kwa Kumkabidhi pikipiki ikiwa ni motisha na nyenzo muhimu ya kuongeza ukusanyaji wa mapato sambamba na kuharakisha shughuli za utawala bora katika kata yake.

Bi Sara ameeleza kuwa awali walikuwa wanatumia gharama kubwa kukusanya mapato kutoka kwa watoza ushuru waliopo kona zote za kata hiyo lakini sasa itakuwa rahisi kuwafikia na hivyo kongeza ufanisi wa mapato ya serikali sambamba na kuvuka lengo walilojiwekea.

               Kata zilizonufaika na pikipiki hizo ni pamoja na:

                  1. Msasani

                     2.Kisondela

                      3.Ndanto

                       4.Kiwira

Akikabidhi pikipiki hizo Mkurugenzi Mtendaji Bwana Renatus Mchau (kulia)  ameomba watendaji wa kata kuzitunza na kuzitumia katika malengo yaliyokusudiwa ili kupanua wigo wa mapato na kuzuia mianya yote ya utoroshaji mapato ya serikali.

Halmashauri ya wilaya ya Rungwe inatarajia kukusanya na kutumia jumla ya Shilingi 52,636,564,958.00 kutoka vyanzo mbalimbali vya ndani na nje katika mwaka wa fedha wa serikali 2021/2022.

Mbele ya Baraza la madiwani llilioketi tarehe 30.07.2021 Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Rungwe Mhe. Mpokigwa Mwankuga alieleza kuwa katika mwaka wa fedha uliopita halmashauri imekusanya mapato  ya ndani mpaka kufikia asilimia 99%, jitihada zilizooneshwa na wananchi waaminifu,  watendaji kwa kushirikiana na waheshimiwa madiwani.

Aidha Halmashauri imechangia  mpaka kufikia asilimia 111.6 % (imevuka lengo) kwenye shughuli za maendeleo kupitia mapato yake ya ndani hali iliyochochea uboreshaji wa  huduma za kijamii katika maeneo mbalimbali sambamba na Ustawi pamoja na uchavushaji wa uchumi katika ngazi ya kaya na wilaya kwa ujumla.

Hata hivyo Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mhe. Dkt Vicent Anney ameendelea kuonya watu wanaotorosha mapato ya serikali kuwa kwa kufanya hiyo wanafifisha jitihada ya kuwaletea huduma wananchi sambamba na kuboresha miundombinu ya barabara, maji,  na umeme na zingine nyingi.


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa