• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

WAZIRI MKUU AANZA ZIARA WILAYANI RUNGWE LEO

Imewekwa Tarehe: August 1st, 2021

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa ameanza ziara leo jumapili  tarehe 01.8. 2021 katika wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya kwa kutembelea Halmashauri ya wilaya ya Rungwe pamoja na Bosokelo.

Akiwa katika Shamba na kiwanda cha KUZA Afrika (Avocado) Mhe. Majaliwa amemshukuru mwekezaji kwa kujuhudi kubwa anazozifanya kuanzisha na kupanua soko la  matunda ya parachichi ndani na nje ya nchi hali inayochochea wakulima wengi kuendelea kuzalisha kwa wingi zao hilo

.Aidha  Mhe. Majaliwa meahidi serikali kuendelea kufungua soko la zao hilo katika mataifa mengi nje ya nchi hususani Afrika ya Kusini na bara la Ulaya ili kumpa fursa mkulima kufaidika na jasho lake na hivyo kujinasua na umasikini.

" Ndugu zangu niwambie ukweli, Parachichi linalipa, Niwaombe muwapandie watoto wenu hata heka moja tu, hii itasaidia kuwasomesha maisha yao yote katika shule mbalimbali" Ameongeza na Kusisitiza.

Awali Mbunge wa jimbo la Rungwe Mhe. Antony Mwantona ameomba vifungashio vya zao la viazi mviringo kutazamwa kwa namna nzuri kwani Lumbesa imekuwa kero na mbinu ya kumnyonya mkulima mnyonge.


Akijibu, Naibu waziri Kilimo, Mhe Hussein Bashe ameeleza kuwa baada ya ziara hii atawakutanisha wakuu wa mikoa yote inayozalisha viazi mviringo ili kutafuta namna bora ya ufungashaji na kulinda maslahi ya mkulima.

Pamoja na hayo Mhe. Bashe amearifu kuwa serikali inaandaa mkakati wa kuandaa vitalu vya miche ya maparachichi itakayogawiwa bure kwa wakulima ikiwa ni mkakati wa kukuza uwanja mpana wa uzalishaji wa zao hili.


Kampuni ya KUZA AFRIKA kwa kushirikiana na Kanisa la Moravian Tanzania ina jumla ya hekta 360  za parachichi ambapo pia hujishughulisha na usindikaji wa mafuta yanayotokana na zao hilo

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa