• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Nyumba za nyasi kupata umeme -Dk.Kalimani

Imewekwa Tarehe: April 23rd, 2018

Waziri wa Nishati  Dr.Merdad Kalemani ametoa maagizo kwa watumishi wa TANESCO  wilaya ya Rungwe Mkoani  Mbeya alipokuwa katika ziara yake ya kutembelea miradi ya umeme vijijini,  ambapo amewataka wawasimamie  wakandarasi ili  kufanikisha zoezi la usambazaji umeme  kwa  wananchi.

Akizungumza na wanachi mbele ya mkuu wa wilaya ya Rungwe  Mh.Julius Chalya, Waziri wa Nishati Dr.Kalemani amewataka watumishi wa shirika la umeme wilayani hapa kuhakikisha wanaweka vituo kwa ajili ya kuwapatia huduma ya ulipiaji  umeme katika vijiji vyao kutokana  adha ya umbali wanayoipata  kwenda Tukuyu mjini  katika ofisi hizo.

Pamoja na hayo  Dr.Kalemani ametoa maelekezo kwa wananchi  juu ya gharama za kuingiza  huduma hiyo ya umeme  ni shilingi 27000/=.  Pia aliwasisitiza watumishi wa shirika la umeme Tanzania kwa kushirikiana na wakandarasi wa umeme REA kuhakikisha kila nyumba ya wananchi  inapata huduma ya umeme.

Aidha Waziri ameaagiza shirika la TANESCO  kuhakikisha  huduma hiyo ya umeme inapatikana hata kwa  wale ambao hawajajenga ila wanamiliki viwanja wapatiwe umeme kwa kusimika nguzo katika maeneo yao huku wakisubiri kujenga nyumba katika maeneo hayo.

Hata hivyo ikumbukwe kuwa hii ni awamu  pili ya Waziri huyu wa Nishati Dr.Merdad Kalemani kutembelea wilaya ya Rungwe tangu aingie madarakani kwa serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Joseph Magufuli.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa