• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Wananchi Rungwe wanufaika na Miradi ya afya

Imewekwa Tarehe: September 20th, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe ni miongoni mwa Halmashauri katika Mkoa wa Mbeya zilizoidhinishiwa kiasi cha fedha 1000,000,000.00 kutoka  Serikali ikiwa ni ruzuku ya ukarabati wa vituo vya afya vya Ikuti na Masukulu kwa mwaka wa fedha 2017/2018.

Katika ujenzi na ukarabati wa vituo hivyo yamejengwa na kukarabatiwa majengo/miundombinu zaidi ya 21 ambayo yamekamilika kwa 100% na majengo yote muhimu yameanza kutoa huduma baada ya kupata na kupokea vifaa tiba.

Ujenzi na ukarabati huo wote umegharimu kiasi cha fedha tsh.  1,217,809,124.67 ikiwa ni fedha toka Serikali Kuu,Halmashauri ya Wilaya kupitia mapato ya ndani,Mfuko wa Jimbo na Michango ya Wananchi/Wadau wa Maendeleo.

Baada ya kukamilika vituo na kuanza kutoa huduma jumla ya wananchi 21,691 wa kata za Masukulu na Ikuti wananufaika kwa  kupata huduma za afya zinazotolewa na vituo hivyo, aidha kuna wananchi wanaofuata huduma hizo katika kata ya Ikuti wakitokea vijiji vya jirani vya Wilaya ya Ileje.

Huduma zinazotolewa katika vituo hivyo ni huduma kwa wagonjwa wanje (OPD),  huduma ya mama na mtoto, huduma ya usafi wa meno na kinywa, huduma ya wagonjwa wanaolazwa, huduma ya uzazi wa mpango, huduma ya maabara,  huduma ya rafiki kwa vijana balehe, huduma ya tohara kwa wanaume, huduma ya unasihi na upimaji VVU, huduma ya kujifungua, huduma ya ushauri na lishe, huduma ya kuzuia ukatili wa kijinsia, huduma za upasuaji, huduma za kuhifadhi maiti, huduma za “X-ray na utra sound”.

Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe bado inaendelea kuboresha huduma za afya kwa kushirikiana na wananchi pamoja na wadau wa maendeleo kwa kujenga vituo vya afya  ambapo mpaka sasa vituo vitatu vinaendelea kujengwa kwa kutumia nguvu za wananchi na wadau wa maendeleo; vituo hivyo vipo katika kata  za Isongole, Masoko na Mpuguso.

Aidha  Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe inaipongeza serikali ya awamu ya tano chini ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Dkt John Joseph Magufuli kwa kuwezesha utoaji wa fedha hizo ambazo zimesaidia kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

 Picha za baadhi ya majengo ya kituo cha afya masukulu

  Baadhi ya picha za majengo kituo cha afya Ikuti

  


Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa