• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

DED RUNGWE APOKEA MAKOMBE NA MEDALI

Imewekwa Tarehe: October 5th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Rungwe Bwana  @renatus_blas akifurahi jambo baada ya kupokea Tuzo ya Vikombe pamoja na Medali kutoka kwa Wachezaji wa Timu ya SHIMISEMITA wilaya ya Rungwe Kufuatia kufuzu michuano hii iliyofanyika mwishoni mwa mwezi August 2025 jijini Tanga


Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe imeshiriki michuano hii na kuibuka  mabingwa katika nafasi mbalimbali katika fani ya Mpira wa miguu, Kikapu, Mbio, Tufe, Mkuki, handball na mingine mingi.


Awali akiwapongeza wachezaji hawa Bwana Mchau amewapongeza kwa hatua waliyofikia na kuwa kufanya hivi wameweka alama chanya kwa wilaya ya Rungwe.


Mchau ameongeza kuwa mara zote timu kutoka Rungwe imekuwa tishio katika michezo mbalimbali, na mara hii imejidhihirisha kwa kutwaa medani  nyingi  na vikombe mbalimbali


Pamoja na Hayo amewataka wachezaji kuendelea na maandalizi kwa ajili ya michuano hii jijini Mbeya mwakani 2026  ambapo amewawekea malengo ya kuchukua ubingwa michezo yote.

Matangazo

  • MAPOKEZI YA FEDHA KWA AJILI YA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO September 14, 2025
  • MWALIKO WA ZABUNI UJENZI NA UENDESHAJI MADUKA KIWIRA October 01, 2025
  • MWALIKO WA ZABUNI KUPANGA NA KUENDESHA KITUO CHA MAFUTA October 01, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA AJIRA October 04, 2022
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • MWENGE WA UHURU WAWEKA JIWE LA MSINGI HOSPITALI YA TUKUYU

    October 12, 2025
  • KARIBU MWENGE WA UHURU

    October 05, 2025
  • MAJESHI YAFANYA MAZOEZI YA PAMOJA

    October 05, 2025
  • DED RUNGWE APOKEA MAKOMBE NA MEDALI

    October 05, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa