• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

WALIMU WAJENGEWA UWEZO DHIDI YA STADI ZA MAISHA

Imewekwa Tarehe: December 22nd, 2021

Mafunzo ya stadi za maisha kwa wanafunzi yamewakutanisha walimu  103 kutoka Shule za msingi , 32 kutoka sekondari na Walimu wakuu wa shule zote 149 katika shule za msingi Halmashauri ya wilaya ya Rungwe.

Mafunzo hayo yaliyolenga kuwajengea uwezo walimu kuwatambua, kuwasaidia na kuwapa mwelekeo sahihi wanafunzi na hivyo kukabiliana na mabadiliko mbalimbali ya kimwili (makuzi), kitabia na hivyo kuwa na nidhamu bora shuleni, katika jamii na hivyo kuongeza ufaulu katika masomo yao.

Akifunga mafunzo hayo Afisa Elimu Sekondari Mwalimu Yona Mwaisaka amewaomba wahitimu wa mafunzo hayo kwenda kuyatumia vizuri kwa walengwa na hivyo kuwabadilisha wanafunzi sambamba na kujenga taifa imara.

Aidha mwalimu Mwaisaka ameomba walimu kwenda kushirikiana na jamii/wazazi kutoa elimu dhidi ya stadi za maisha kwa wanafunziili kuleta usumaku imara kwa watoto na hivyo kuchavusha maarifa shuleni na nyumbani katika ngazi ya kaya.

Hata hivyo ameagiza shule zote kuanza kutoa elimu ya michezo kwa wanafunzi ikilenga kuleta uchangamshi na hivyo kuondokana na tatizo la udumavu kwa wanafunzi.Wakati huohuo mratibu wa mafunzo hayo ambaye pia ni Afisa Elimu Taaluma Mwalimu Michael Malecela ametaja madhara ya wanafunzi kukosa stadi za maisha kuwa ni pamoja na wanafunzi kupata mimba za utotoni, Kujiingiza katika vitendo viovu kama matumizi ya madawa ya kulevya na jinai zingine kadhaa, kushindwa kuchagua masomo sahihi ya kusoma kulingana na uelewa, kushindwa kuchagua taaluma sahihi ya kusomea kulingana na ufaulu wao

Mafunzo haya yamefadhiliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa -UNCEF kwa kushirikiana na Halmashauri ya wilaya ya Rungwe.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa