• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

WALEMAVU WATIWA MOYO

Imewekwa Tarehe: April 22nd, 2020


Noah kibona, Rungwe Dc

Watanzania wametakiwa kuwajali watu wenye mahitaji maalumu kwani kwa kufanya hivyo itasaidia kuleta ustawivu bora kwa jamii.

 Rai hiyo imetolewa na Katibu tawala Wilaya ya Rungwe  bwana  Nkondo  Bendera  wakati  wa  maadhimisho  sikukuu   ya  walemavu duniani ambayo kiwilaya ilifanyoika katika viwanja vya halmashauri ya wilaya ya Rungwe.

Akifafanua zaidi bwana Bendera aliongeza kuwa asilimia 20 ya watu masikini duniani ni walemavu hivyo juhudi za pekee zinatakiwa kuongezwa kwa watu wenye ulemavu ili kuboresha maisha yao ikiwa ni pamoja na kupewa mikopo isiyo na riba na mazingira wezeshi ya kupata elimu na stadi za maisha.

Hata hivyo imeelezwa kuwa asilimia 2 ya mapato na ndani ya Halmashauri yamekuwa  yakielekezwa kwenye kundi maalumu la watu wenye  ulemavu ambapo hukopeshwa bila riba kwenye vikundi na mtu mmoja mmoja.

Akitoa ufafanuzi zaidi  mwakilishi wa Mkurugenzi wa  Halmashauri ya wilaya ya Rungwe  DR.  Lawrence Kibona amesema kuwa fedha hizo zimekuwa zikiingizwa kwenye mfuko wa walemavu kwa lengo la kuchochea maendeleo kwa watu wenye mahitaji maalumu. “Kwa misimu yote halmashauri imekuwa ikiingiza fedha hizo kwa wakati kwa lengo la kuchochea maendeleo katika kundi hilo maalumu” aliongeza.

Aidha mwenyekiti wa shirikisho la  watu wenye ulemavu wilaya ya Rungwe Bwana Emu Kasote  amesema kuwa  kuto rudisha mikopo kwa baadhi ya vikundi kumechangia  kukwama kwa mkakati mahususi wa kuhakikisha makundi yote yananufaika na mfuko wa walemavu.

Pamoja na hayo bwana Kasote ameomba kuandaliwa miundo mbinu wezeshi ya walemavu ikiwemo vivuko vya walemavu , vizimba vya biashara, na usafiri ili kuwasaidia kufanikisha malengo  waliyojiwekea ikiwemo na kupewa watalamu wa lugha ya alama kwa vizwi hasa katika maeneo maalumu kama hospitali, na mahakamani .

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa