• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

WAKAZI WA KIJIJI CHA NTOKELA WANUFAIKA NA KILIMO CHA VIAZI

Imewekwa Tarehe: February 18th, 2022

Kilimo cha viazi mviringo kimeendelea kuwanufaisha wakazi kijiji cha Ntokela kata ya Ndanto Halmashauri ya  Wilaya ya Rungwe.

Uzingatiaji wa kanuni za kilimo bora, na soko la uhakika la viazi limempa nafasi kijana, Ezra Mapembelo kujenga nyumba ya kisasa kwa muda mfupi.

Ezra anatoa wito kwa vijana wenzake katika wilaya ya Rungwe kufanya kazi kwa bidii, kupanga matumizi sahihi ya kipato chao, kuwa na uelewa mpana wa maisha ya kila siku, Kujitambua, na kushirikiana na jamii katika shughuli za maendeleo kijijini na serikali kwa ujumla.

Ezra anataja kuwa nyumba yake ametumia zaidi ya shilingi Million 37, fedha iliyosaidia kujenga nyumba hiyo yenye vyumba viwili vya kulala, sebule na jiko.

Kijiji cha Ntokela ni moja ya vijiji vinavyokua kwa kasi zaidi wilayani Rungwe. Vijiji vingine ni Nzunda, Ndaga na Goye ambapo kijiji cha Nzunda kimebuni na kujenga soko la kisasa linalotarajia kutumia zaidi ya shilingi million 100.











May be an image of outdoors

























Kilimo cha viazi mviringo kimeendelea kuwanufaisha wakazi kijiji cha Ntokela kata ya Ndanto Halmashauri ya  Wilaya ya Rungwe.



Uzingatiaji wa kanuni za kilimo bora, na soko la uhakika la viazi limempa nafasi kijana, Ezra Mapembelo kujenga nyumba ya kisasa kwa muda mfupi.



Ezra anatoa wito kwa vijana wenzake katika wilaya ya Rungwe kufanya kazi kwa bidii, kupanga matumizi sahihi ya kipato chao, kuwa na uelewa mpana wa maisha ya kila siku, Kujitambua, na kushirikiana na jamii katika shughuli za maendeleo kijijini na serikali kwa ujumla.



Ezra anataja kuwa nyumba yake ametumia zaidi ya shilingi Million 37, fedha iliyosaidia kujenga nyumba hiyo yenye vyumba viwili vya kulala, sebule na jiko.



Kijiji cha Ntokela ni moja ya vijiji vinavyokua kwa kasi zaidi wilayani Rungwe. Vijiji vingine ni Nzunda, Ndaga na Goye ambapo kijiji cha Nzunda kimebuni na kujenga soko la kisasa linalotarajia kutumia zaidi ya shilingi million 100.











May be an image of outdoors





















Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa