• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

WAKAZI WA KATA YA KINYALA WANAFUIKA NA KITUO CHA AFYA

Imewekwa Tarehe: September 24th, 2021

KATA YA KINYALA YANUFAIKA  NA KITUO CHA AFYAUhamasishaji wa ujenzi wa kituo cha afya kata ya Kinyala umefanyika leo asubuhi  tarehe 24.09.2021 katika kijiji cha Lubigi katika kata hiyo.

Kituo hicho kinachotarajia kugharimu  shilingi million 201,573,374/= ( Mapato ya ndani) kitavinufaisha  vijiji 6 vyenye jumla ya wakazi 16,964 katika kata hiyo na maeneo ya jirani hususani Wilaya ya Mbeya vijijini.

Akihamasisha ushiriki wa wananchi katika ujenzi wa kituo hicho, Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Dk Vicent Anney ameagiza kila mkazi wa kata hiyo kushiriki kikamilifu ikiwa ni pamoja na kuchangia nguvu kazi ili kupunguza gharama ya ujenzi na hivyo fedha ya ziada kutumika katika ukamilishaji wa miundo mbinu mingine.

Aidha ameonya wananchi kutojihusisha na uwizi wa vifaa vya ujenzi  wa kituo hicho na kuwa kwa kufanya hivyo itakwamisha mradi na hatimaye kushindwa kukamilika kwa wakati.

Dkt Vicent ameendelea kuwakumbusha wakazi wa kata hiyo  kupata chanjo dhidi ya COVID 19  ili kujihakikishia kinga dhidi ya CORONA pamoja na na wananchi kushiriki zoezi la sensa ambalo linatarajiwa kufanyika hivi karibuni kwa kutoa taarifa sahihi ili kuipa nafasi serikali kupanga shughuli za maendeleo ikiwa ni pamoja na utoaji huduma stahiki kwa wananchi wake.

Katika hamasa hiyo Mbunge wa Jimbo la Rungwe Mhe. Antony Mwantona ameahidi kutoa ushirikiano mkubwa kuhakikisha kituo hicho kinakamilika kwa wakati.Amesema kwa sasa (Leo) anatoa mifuko ya saruji 50 kwa kila shule ya msingi kisoko na kisumba na  mabati 100 kwa shule ya sekondari Kinyala  ikiwa ni sehemu yake ya ahadi aliyoitoa awali. 

Baada ya hapo nguvu atazihamishia katika kituo hicho cha afya ikiwa hatua ya utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Katika hatua ya awali kituo hicho cha afya kitakuwa na majengo ya wagonjwa wa nje (OPD),   Jengo la Wazazi (maternity) , vyoo na kichomea taka.

Majengo mengine yataendelea kukalishwa kulingana na upatikanaji wa fedha

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa