• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

VISHIKWAMBI KUBORESHA ELIMU SHULENI

Imewekwa Tarehe: January 13th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe. Dkt Vicent Anney  Leo tarehe 13.01.2023 ameongoza zoezi la ugawaji wa vishikwambi (Tablets) kwa walimu wa shule za Msingi na Sekondari katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe ikiwa ni nyezo muhimu ya kuboresha Ufundishaji na ujifunzaji kwa Wanafunzi.


katika zoezi hilo  Mhe. Anney ameagiza kila Mwalimu kwenda na  kuvitumia vishikwambi hivyo kwa malengo mahususi yaliyotarajiwa huku akieleza kuwa kila Mwezi Kutakuwa na uhakiki wa uwepo na Matumizi  sahihi ya vifaa hivyo katika shule zote.


Mhe. Anney ametaja matumizi ya vishikwambi hivyo kuwa ni pamoja na  kuandaa Masomo kwa  kutumia vyanzo mbalimbali vya maarifa kwa njia ya mtandao, na kuandaa taarifa na kuzituma katika ngazi mbalimbali za kitaluma.


Katika hatua nyingine Mhe.  Anney ameagiza wanafunzi wote WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA na kidato Cha kwanza sambamba na Wale waliofikia umri wa kusajiliwa darasa la  kwanza kufanya hivyo na kupokelewa na shule husika  bila masharti yeyote ikiwa ni haki ya Msingi na stahiki kwa mwanafunzi.


Akifungua kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe  Bwana Castory Makeula ametaja jumla ya vishikwambi 1131 kuwa vitapelekwa katika shule mbalimbali ili kuboresha elimu  na hivi karibuni vingine vinatarajia kupokelewa kutoka Serikali kuu na vitasambazwa shuleni.

Matangazo

  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 14, 2022
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA KAZI KATIBU MAHSUSI III March 01, 2023
  • FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO ZILIZOPOKELEWA KWA KIPINDI CHA MWEZI MARCH HADI JUNE, 2022 July 04, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI May 25, 2022
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • ZAHANATI YA SUMA YASOMA MAPATO NA MATUMIZI

    March 22, 2023
  • RUNGWE YAPONGEZWA KWA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO

    March 18, 2023
  • ASANTE MAMA YETU

    March 15, 2023
  • RUNGWE CHAGUO LAKO HAKIKA

    March 14, 2023
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa