• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

UWAMARU AMCOS YANUFAIKA NA RUZUKU YA SHILINGI MILLION 231

Imewekwa Tarehe: September 10th, 2021

Jumla ya shilingi million 231,612,800/=zimekabidhiwa kwa AMCOS ya UWAMARU iliyopo kata ya Kyimo na Shirika la UNITED STATE AFRICAN DEVELOPMENT FOUNDATION (USADF) ikiwa ni ruzuku itakayoboresha muungano huo wa wakulima.AMCOS hiyo inayojishughulisha na kilimo, ununuzi na usafirishaji wa Parachichi  ina jumla ya wanachama 265 ambao ni wakulima wa zao hilo.

Ruzuku hiyo itatumika kuchochea kilimo cha parachichi kwa kugharamia mafunzo kwa wakulima, ujenzi wa jengo la kuhifadhia mali mbichi (coldroom), ununuzi wa pikipiki, jenereta, uboreshaji wa miche, na ajira kwa watumishi wapya wa mradi huo.

Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mhe. Dkt. Vicent Anney (kulia kwenye picha)  ndiye alikuwa mgeni rasmi na kushuhudia utilianaji saini wa makabidhiano hayo amabapo ameonya wanufaika kutotumia vibaya ruzuku hiyo badala yake fedha hizo ziboreshe zao la parachichi, uanzishwaji wa viwanda vya usindikaji sambamba na kushirikiana na Makampuni makubwa kama KUZA AFRIKA ili kujengeana uwezo na kupanua fursa ya masoko nje ya nchi.

Meneja mradi wa USADF nchini Tanzania bwana Gilliad Nkini ameomba wanufaika wa ruzuku hiyo kuzingatia taratibu za manunuzi ikiwa ni pamoja na mafunzo mbinu itakayoongeza maarifa yatakayodumu hata baada ya mradi kumaliziza muda wake ( mwaka mmoja)

Hata hivyo Mwenyekiti wa AMCOS hiyo Bwana Kayusi Msigwa ametaja sifa zilizosababisha kupata ruzuku hiyo kuwa ni pamoja na:

1. Kupata hati safi ya ukaguzi

2.Uwepo wa ekari mbili za ardhi mali ya chama

.3 Usimamizi mzuri wa mashamba ya wakulima.

4. Kuwaunganisha wakulima na kuzalisha kwa tija.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa