• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

UVAAJI SAHIHI WA BARAKOA WASISITIZWA

Imewekwa Tarehe: May 5th, 2020


Noah kibona, Rungwe Dc

Imeelezwa kuwa uuzaji wa barakoa usiofuata kanuni za afya unaweza kuchangia maambukizi na kuenea kwa virusi vya COVID 19 miongoni mwa watumiaji nchini Tanzania.

Rai hiyo imetolewa  na Mkurugenzi Mtendaji halmashauri ya wilaya ya Rungwe bibi Loema Peter  wakati akiongea na watumishi wa halmashauri hiyo ikiwa ni sehemu ya kupeaana elimu dhidi ya ugonjwa hatari wa corona ambao kwa sasa umefanikiwa kuenea ulimwenguni kote.

 Aidha bibi Loema amewaomba wauzaji wa barakoa kutoruhusu wateja wao kujaribisha na kisha kuirudisha kama haimtoshi kwani kwa kufanya hivyo itachangia maambukizi ya COVID 19.

Pamoja na hayo amesisisitiza kuwa uvaaji wa barakoa kwa kuiegesha chini ya kidevu na juu ya paji la  uso na kisha kuirudisha mdomoni  inaweza kuwa  moja ya ukiukwaji wa kanuni za uvaaji wa barakoa miongoni mwa watumiaji.

Akichangia zaidi Mganga mkuu wa halmashauri ya wilaya ya Rungwe Dr. John Mrina amewaomba watumiaji kuhakikisha wanavaa barakoa hizo siyo zaidi ya masaa manne  na kisha kuziteketeza ili kuepuka uwezekano wa kuenea kwa virusi  hivyo.

Hata hivyo Dr..Mrina  amewaasa wakazi wa wilaya ya Rungwe kuhakikisha wanakula vyakula vyenye viini lishe kwani kwa kufanya hivyo itasaidia kuimarisha kinga ya mwili.

Katika halmashauri ya wilaya Rungwe zoezi la upimaji wa joto kubaini dalili za ugonjwa wa Corona unaendelea maeneo mengi ikiwemo hospitali ya wilaya Tukuyu, ambapo kituo cha afya Isongole  kimeteuliwa kutumika  kuwahudumia washukiwa wa Covid 19.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa