• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

USUBI WATOKOMEZWA 80%

Imewekwa Tarehe: August 31st, 2022

Magonjwa yasiyopewa kipaumbele Tanzania yamewakutanisha Makatibu tawala, Wenyeviti wa Halmashauri, Wakurugenzi na watafiti katika Halmashauri nne lengo likiwa ni kujadili mafanikio yaliyofikiwa kutokomeza magonjwa haya ikiangaziwa zaidi katika ugonjwa wa USUBI.


Kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe kimejumuisha Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Kyela, Ileje na Busokelo.


Katika kikao hicho taasisi ya utafiti wa magonjwa ya Binadamu (NIMRI) imeeleza kuwa tangu mwaka 1980 tafiti zimekuwa zikifanyika kupitia kituo cha Tukuyu na kubaini kuwa ugonjwa wa USUBI una madhara kwa jamii.


Baadhi ya madhara ya ugonjwa wa usubi ni pamoja na kupunguza nguvu za kuona, kuwa kipofu kabisa, na kiuchumi taifa linapunguza nguvu ya uzalishaji Mali katika jamii.


Dalili za Usubi ni mgonjwa kupata  muwasho mithili ya mtu aliyeumwa  na Mbu (Muwasho usioisha).


Ugonjwa huu husambazwa na nzi mweusi ambaye hutaga mayai na kuzaliana katika maji/mito inayotembea kwa kasi.


Baada ya kuzaliana nzi huruka mpaka  kufikia km 15 kuelekea makazi ya watu na hivyo wakazi waliopo kando ya mito wapo hatarini kuambukizwa.


Utafiti umeonesha kuwa mito iliyoathirika zaidi ni pamoja na Lufiliyo, Mbaka, Kiwira, Songwe na Lumbira ulipo Ludewa Mkoani Njombe.


Maeneo yaliathirika zaidi ni ukanda wa chini ambapo una joto la wastani au zaidi.


Kupitia kituo cha Tukuyu Mpango wa kutokomeza ugonjwa huu ulianza kufanyiwa kazi ambapo mwaka 2000-2005  dawa aina ya IVERMECTIN ilianza kusambazwa katika jamii kwa njia ya  kumeza pamoja na kunyunyiza katika mito na mpaka Sasa maambukizi yamepungua mpaka kufikia asilimia 80%•


Nchini Tanzania maeneo mengine yaliyoathirika na USUBI ni pamoja na Mkoa wa Morogoro, Tanga na Ruvuma.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa