• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

UFAFANUZI DHIDI YA SHULE YA MSINGI MABONDE

Imewekwa Tarehe: November 18th, 2023

Kupitia Ukurasa wa  instagram wa shaderoom_tz ilichapishwa taarifa dhidi ya ya shule ya Msingi Mabonde iliyopo Kata ya Msasani.e


Moja ya mambo yaliyoandikwa ikiwa ni Malalamiko ni kuwa shule hii Wanafunzi wanachangishwa michango isivyostahili, Wanafunzi wa madarasa tofauti kuchanganywa chumba kimoja wakati wa masomo, Madaftari pamoja na Majibu yasiyo na staha kwa wazazi.


Ufuatao ni ufafanuzi dhidi ya Tuhuma hizi:


Kwanza ifahamike kuwa shule haiwezi kuanzisha mchango wowote kwa wanafunzi au Wazazi bila kikao na maridhiano ya wazazi. Kikao hicho ambacho husimamiwa na Mwenyekiti wa shule ndicho chenye Mamlaka dhidi ya Maendeleo na Ustawi wa shule katika eneo husika.


Mathalani tarehe 8/2/2022 Kikao cha Wazazi kikiongozwa na Mwenyekiti wa shule kiliazimia kuwa  kila mzazi kuhakikisha anachangia chakula cha mchana kwa wanafunzi ili kuwaongezea lishe sambamba na kuongezea ufaulu katika shule hizi.


1. KUWACHANGANYA WANAFUNZI .

Wanafunzi wa darasa la III na la IV  pia darasa la IV na vII   hawachanywi pamoja wakati wa masomo.  kwani Kila darasa lina mada zake lengwa na kufuata mtaala Kama ulivyoelekeza  na WIZARA .  Wanafunzi wa  Darasa la sita wanasoma mada zao na la Saba mada zao vivyo hivyo   .


2. MICHANGO;

Shule ya msingi Mabonde haina michango ya sh 7000 kwa wiki kama ilivyochapishwa katika ukurasa . Bali kuna Mchango ambao walikubaliana wazazi kwenye kikao tarehe 27/10/2023  ambayo ni sh 1000 kwa ajili ya mitihani siku ya Jumamosi hiyo ni kwa ajili ya kuchapisha mitihani na kuidulufu na Kila mtoto hupewa   mitihani wake  kwa ajili ya kutahiniwa.


3. MADAFTARI.

Kikao kilichokaliwa tarehe 27/10/2023 cha wazazi wa darasa la VI walikubaliana kwamba ; Kila mzazi atamnunulia mwanae MADAFTARI makubwa ili kuepuka usumbufu wa kununua MADAFTARI Mara kwa Mara  hivyo wazazi wote kwa pamoja waliafiki na kuanza utekelezaji pia kutokana na walimu kukamilisha mada za darasa la sita  mapema hivyo wameanza kuwafundisha wanafunzi mada za darasa la saba kuanzia tarehe 01/11/2023 ili kuwajengea uwezo mzuri kimasomo .Hakuna mwalimu yeyote aliyemfukuza mwanafunzi kwa kutoleta  MADAFTARI MAKUBWA.


4. TUITION SHULENI.

Katika shule hii hakuna  tuition yeyote inayoendelea  SHULENI.  Bali walimu wamejipanga kwa ajili ya kuwasaidia wanafunzi wakati  wa muda wa  ziada  kuanzia asubuhi na jioni ambayo ni bure.


5. MAJIBU KWA WAZAZI.

 Katika shule hii uongozi wa shule hautoi majibu yasiyo na staha kwa Wazazi bali  hutekeleza  maazimio ya wazazi wenyewe ya kikao ambacho kilikaliwa tarehe 27/10/2023 ambacho wazazi walikubaliana kwamba mzazi ambaye atakuwa kinyume na maazimio ya kikao atachukuliwa hatua.


KWA HATUA HII: Tunaomba wazazi pamoja na wakazi wote wa Wilaya ya Rungwe kuepuka taarifa  yoyote ya kupotosha ambayo inaweza kusababisha taharuki na hivyo kuondoa mshikamano na ufaulu wa wanafunzi wetu.


.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa