• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Tathmini ya matokeo ya darasa la saba Wilaya ya Rungwe ya fanyika na kuwavua madaraka walimu wa Kuu .

Imewekwa Tarehe: November 8th, 2018

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Bi.Loema I.Peter amefanya tathmini ya matokeo ya std Vii 2018. Tathmini hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri tarehe 8/11/2018,ilihudhuriwa na Walimu wa Wakuu wa shule za msingi zote wilayani Rungwe pamoja na Maafisa  Elimu Kata wote.

Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe kwa mwaka 2018 jumla ya shule za msingi zilizofanya mtihani wa darasa la saba ni 138 na shule zilizoongeza ufaulu ni 95 na shule 42 zimeshuka na sababu kuu za kushuka ufaulu huo ni usimamizi mbovu wa Walimu Wakuu hao na ndiyo sababu ya kuvuliwa nyadhifa zao.

Pia katika tathmini hiyo shule zilizofanya vizuri zilipongezwa  na  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri  ya Wilaya ya Rungwe, pia amewataka Walimu Wakuu waliobaki katika nafasi za uongozi na Maafisa Elimu Kata kuandika barua za kuahidi kwamba watahakikisha ufaulu wa mwaka 2019 utapanda kwa 89% na kuahidi kama hawatofikia malengo watajihudhuru na barua hizo ziwe tayari tarehe 13/11/2018.

Aidha amemuagiza Afisa Elimu Wilaya na Maafisa Elimu  wasaidizi wake katika idara ya Elimu nao kuandika barua za kuahidi kuongeza nguvu katika usimamizi wa kazi zao. 

     

 Picha juu za juu baadhi ya Walimu Wakuu wakiwa kwenye kikao cha tathmini ya matokeo ya std vii wilayani Rungwe.



Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa