• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

TARURA YASOMA BAJETI

Imewekwa Tarehe: May 9th, 2023

Mkutano Maalumu wa Baraza la Madiwani leo tarehe 03.5.2023 umepitisha  Rasimu ya Bajeti ya Wakala wa Barabara Vijijini na Mjini (TARURA)yenye jumla ya Shilingi Billion 7.7 kwa mwaka wa fedha 2023/24.


Bajeti hii itasaidia  uborereshaji  miundombinu ya barabara ikiwemo madaraja, ujenzi wa barabara mpya ,Ukarabati  pamoja na ufungaji wa taa .


Bajeti hii inatokana na tozo ya mafuta ya dizeli na petroli inayokatwa kwa kila lita moja ya mtumiaji , Mfuko wa jimbo na mapato ya ndani ya Halmashauri.


Katika kikao hicho Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Rungwe Mhe.Mpokigwa Mwankuga ameishukuru TARURA kwa kazi nzuri wanayoifanya kuhakikisha Barabara za vijijini zinapitika na hivyo kuwezesha mazao ya wakulima kufika sokoni kwa urahisi.


Ameeleza kuwa licha ya Mvua kunyesha  kwa wingi  mfululizo katika wilaya ya Rungwe na hivyo kupelekea barabara kuharibika bado TARURA wamekuwa mstari wa Mbele kuzikarabati na kuzirudisha katika ubora wake.


Mhe. Mwankuga amezitaja moja ya barabara zilizojengwa kwa mwaka huu wa fedha kuwa ni pamoja na ile ya Masukulu -Kikole- Kipande(Kyela) na Kapugi- Lyenje na Masebe - Mpata(Busokelo).


Akiwasilisha bajeti hiyo, Meneja  TARURA Wilaya ya Rungwe  Mhandisi Derick Kamala amearifu kuwa kwa mwaka wa fedha 2023/24 Serikali inatarajia kuweka tabaka jipya la lami katika barabara ya Mzunguko -TANESCO- TUKUYU Sekondari, Mzunguko -TRA na TANESCO -Bomani.


Aidha barabara ya Ibililo -Matweli pamoja na Ikuti- Mboyo itajengwa na hivyo kusaidia  wakazi wengi wanaoishi katika maeneo hayo kufanya shughuli zao za kiuchumi,  na kijamii kwa urahisi na haraka zaidi.


 Rasimu huu ya Bajeti inaendelea kwa hatua zingine za utekelezaji.

Tarura Tanzania

Renatus Mchau

Ofisi ya Rais - Tamisemi

RUNGWE YETU" Mbeya".

Rungwe Updates  

Rungwe Connection

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa