• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI YAWASILISHWA

Imewekwa Tarehe: August 20th, 2021

Taarifa ya Utekelezaji wa ilani ya chama  tawala (CCM) kwa miezi sita iliyopita imewasilishwa leo tarehe 20.08.2021 na Mkuu wa wilaya ya Rungwe Dkt. Vicent Anney.


Katika taarifa hiyo imeelezwa kuwa jumla ya shilingi Billion 2 zimetumika katika ujenzi wa barabara vijijini katika Halmashauri ya Rungwe, na Busokelo.



Aidha katika kipindi hicho Mradi wa umeme vijijini (REA) mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka jana jumla ya vijiji 70 kati ya 99 vimefanikiwa  na kupata umeme huku juhudi zikiendelea kuhakikisha maeneo yote yaliyobaki yanapata nishati hiyo katika awamu hii.


Mhe. Anney amebainisha kuwa jumla ya lita million 60 za maziwa zinazalishwa katika wilaya ya Rungwe kwa mwaka lakini ukosefu wa viwanda na soko la uhakika linachangia bei ya maziwa kushuka. Katika kutafuta ufumbuzi, katika msimu huu jumla ya  viwanda viwili vinatarajiwa kujengwa katika Halmashauri ya Rungwe na Busokelo vikilenga kuongeza thamani ya maziwa sambamba na upandishaji wa bei ambapo kwa sasa yanauzwa kwa wastani wa shilingi 650 kwa lita.


Hata hivyo amehamasisha uanzishwaji wa viwanda vidogovidogo vya kuchakata mazao ya kilimo na mifugo katika maeneo mbalimbali ndani ya wilaya hii ikilenga kuongeza  thamani, ajira na soko la ushindani na hivyo kukuza wigo wa bei nzuri kwa mkulima.


Akizungumzia sekta ya utalii Dkt Anney ameongeza kuwa pamoja na kuwa na vivutio vingi katika wilaya hii lakini bado wananchi wameshindwa kuvitembelea mara kwa mara hatua inayoshusha pato la halmashauri na taifa kwa ujumla.


Pamoja na hayo sekta ya ulinzi na usalama, afya, maji,  na elimu imeendelea kuboreka na kuimarika  ambapo serikali inakikisha kila mtanzania anapata huduma bora na stahiki ili kuleta maendeleo yenye tija kwa kaya na taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa