• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

TAARIFA KWA UMMA UFAFANUZI DHIDI YA BANGO SIKU YA MEI MOSI

Imewekwa Tarehe: May 9th, 2024

UFAFANUZI DHIDI YA BANGO LA MEI MOSI


Siku ya wafanyakazi duniani maarufu kama mei mosi mwaka huu 2024 kulikuwa na Bango lililoandikwa "Walimu tumechoka na uhamisho usiokuwa na Malipo"


Tunaomba kukiri kuwa walimu wamekuwa na madai  ya  stahiki zao mbalimbali ambazo zimekuwepo katika vipindi tofauti.


Kuanzia mwaka 2014-2017 Serikali ilifanya zoezi la Kusawazisha Ikama ya walimu katika shule mbalimbali. Aidha Walimu waliokuwa wanafundisha masomo ya sanaa katika shule za sekondari sehemu yao walihamishiwa Shule za Msingi.Pia  Walimu Wakuu waliokuwa na Elimu  ya Cheti pia walishushwa Madaraka na kuhamishiwa katika shule mbalimbali huku Waliokuwa na Elimu ya Diploma na kuendelea wakachukua nafasi hizo.


Kutokana na hilo Deni la Madai ya Uhamisho lilifikia Shilingi Million 778,847,298.


Kupitia Mfumo wa Madenimis Serikali ilihakiki deni hilo na hivyo kuanza hatua mbalimbali za Malipo.


Serikali imeendelea kulipa madeni hayo kwa Walimu katika vipindi tofauti kila mwaka .


Barua yenye kumbukumbu namba RDC/CO/ED/T20/4/VOLII/161 Iitumwa Wizara ya fedha kwa ajili ya  kukumbushia madai haya.


Hata hivyo Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe  ndugu Renatus Mchau kwa kutambua mchango wa walimu katika ufundishaji na ujifunzaji kwa wanafunzi ameendelea kushughulikia madai haya kwa ukaribu sana.


Mwezi Marchi mwaka huu 2024 jumla ya shilingi million 12 zimelipwa kwa walimu katika shule mbalimbali ikiwa ni sehemu ya madai yao.


Pamoja na hayo  jumla ya shilingi millioni 79 zinatarajiwa kulipwa kwa walimu wapatao 295 ndani ya mwezi huu Mei 2024.


Kwa  sasa Mwalimu anapohamishwa  analipwa mara moja  stahiki zake zote kama  Fedha za kujikimu na kusafirisha mizigo. Wastaafu pia wamekuwa wakisafirishiwa mizigo mara utumishi wao unapotamatika.


Hivyo tunapenda kuwashukuru walimu kwa kazi nzuri wanayoifanya ambapo kwa kipindi cha miaka mitano mfululizo ufaulu umekuwa kwa zaidi ya asilimia 94% na hivyo kushika nafasi ya pili kimkoa kati ya Halmashauri 07 zinazounda mkoa wa Mbeya.


Noah Kibona

Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini

Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

09.5.2024

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa