• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

SOKO LA TANDALE SASA RASMI

Imewekwa Tarehe: September 29th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Bwana Renatus Mchau anapenda kuwaarifu wakazi wote wa Wilaya ya Rungwe, Mkoa wa Mbeya na Tanzania Kwa ujumla kuwa soko la mbogamboga na Matunda lililopo Tandale Tukuyu Mjini limefunguliwa rasmi.


Soko hilo lililojengwa kwa ushirikiano wa Halmashauri na Shirika la Agri- connect kupitia Mradi wa KIBOWAVI litawanufaisha zaidi ya ya wajasriamali 400 huku likiwa na vizimba 120 sambamba na Wafanyabiashara wengine watakao toa huduma kuzunguka soko hilo.


 Aidha kumejengwa jengo maalumu la kukaushia na kuhifadhia mboga.


Kupitia kikao Cha kamati ya fedha, uongozi na Mipango kilichofanyika Leo tarehe 29.9.2022, Waheshimiwa Madiwani wameongeza  ujenzi wa soko hilo  na mazingira mazuri yalivyoboreshwa na kuishukuru  Menejimenti ya Halmashauri pamoja na Wananchi kwa kusimamia  vizuri ujenzi wa soko hilo.


Amenye Mwakatundu mkulima na Mfanyabiashara katika soko hilo ameishukuru Serikali kwa hatua nzuri iliyofikia na kuwa Sasa wataepukana na kadhia ya kunyeshewa na mvua pamoja na Mali zao Kukosa sehemu salama ya kufifadhia bidhaa zao.


Hata hivyo Wafanyabiashara katika soko hilo wamealika wateja wote katika viunga vya mji wa Tukuyu na Rungwe kwa ujumla kufika katika soko hilo na kujipatia mahitaji ya kila siku.


Soko la Tandale lipo katikati ya Gulio ambalo hufanyika kila siku ya Jumatatu na Alhamisi hali inayovutia Wafanyabiashara wengi kutoka katika wilaya ya Kyela, Busokelo, Chunya, Ileje, Mbeya, Njombe na Iringa kuja na kununua bidhaa za shambani zikiwa katika hali ya ubora.


Ndani ya soko hilo Afisa Maendeleo ya jamii Wilaya ya Rungwe Bwana Omary Mungu ameeleza Mpango  pia ni kukarabati vyumba 40 vya Biashara na tayari 24 vimekamilika bado vyumba 16 ikiwa ni pamoja na kukamilisha ujenzi wa  mitaro ya maji machafu na maeneo ya watembea kwa miguu.


"Katika kuhakikisha eneo hili linafikika kwa urahisi tunatarajia kuviondoa baadhi ya vibanda/ maduka Upande wa Barabara ya Tukuyu- Busokelo ili kutoa nafasi magari kushusha watu na mali zao kwa urahisi" ameongeza Bwana Mungi.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa