• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

SHULE YA WANANCHI KAYUKI BORA KITAIFA

Imewekwa Tarehe: February 16th, 2022

Shule ya sekondari Wasichana Kayuki imeingia katika shule kumi bora za wananchi katika ufaulu wa wanafunzi wa kidato cha nne 2021 nchini Tanzania.

Katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini shule nyingine ni Makete girls na hivyo kuwa na shule mbili tu za wananchi huku zingine zikitoka katika kanda zingine.

Shule hii ilifaulisha kwa daraja la kwanza wanafunzi  42, Daraja la pili wanafuzi 90, daraja la tatu wanafuzi 49, Daraja la nne wanafunzi 34 na sifuri mwanafunzi mmoja.Hali hii imesababisha Wizara- TAMISEMI kuikabidhi shule hii kikombe na cheti wiki iliyopita ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wa shule hii katika utoaji wa elimu bora kwa wanafunzi wilayani Rungwe.


Mkuu wa shule hiyo Mwalimu Bertha Sarufu ametaja sababu kadhaa zilizosaidia kupandisha ufaulu katika shule hiyo kuwa ni pamoja na Nidhamu nadhifu kwa wanafunzi, Walimu kujituma, kuwabaini wanafunzi wenye mahitaji ya ziada na kuwasaidia ipasavyo, kutoa motisha kwa kila mwanafuzi kwa kila mtihani nusu mhula na mwisho wa mhula, Bodi kutoa motisha kwa walimu waliofanya vizuri, kuondoa dhana ya masomo kuwa ni magumu kwa wanafunzi sambamba na kuwaita wanafunzi waliofaulu kuja kutoa ushuhuda kwa wenzao.

"Mathalani mwaka huu tumetoa motisha kwa wanananzi sita waliofaulu vizuri kwa kuwanunulia vifaa vya maandalizi ya kidato cha tano vyenye thamani ya shilingi 60,000/= kwa kila mmoja". ameongeza mwalimu Sarufu.

Shule hii inayopatikana katika kata ya Ilima hupokea wanafunzi wa kike kutoka katika shule zote za msingi wilayani Rungwe na hivvyo kuwa na tija kubwa kwa wakazi wote wa wilaya ya Rungwe.- Rungwe District Council-

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya ya Rungwe Bwana Renatus Mchau amezitaja shule zingine zilizofanya vizuri kuwa ni pamoja na Tukuyu sekondari na Bulyaga na kuwa mikakati ni kuhakikisha shule zote zinafanya vizuri kwa walimu kufundisha kwa bidii, Uhakika wa chakula shuleni na utoaji wa motisha mbalimbali kwa walimu na wanafunzi.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa