• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

SERIKALI INAVYOJALI WATU WAKE

Imewekwa Tarehe: January 26th, 2024

SERIKALI HII FURAHA YETU HAKIKA!!!


Hamna ubishi tena kuwa Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imeupiga mwingi na kama ni matawi ni ya juu sana ni ngumu kuyafikia.


Tazama shule hii  na miradi mingine katika picha  imeota kama uyoga katika kata ya Lupepo ambapo ni sekondari Mpya kabisa katika kata hii na masomo tayari yanaendelea.


Shule kama hii pia imejengwa katika kata ya Msasani (Msasani one sekondari) na Kibumbe katika kata ya Kiwira.


Vituo vya afya Kyimo , Iponjola, Ndanto, Kinyala vimekamilika na Vile vya Masoko, Kiwira, Masebe, Malindo na Swaya ujenzi unaendelea.


Tabasamu mwanana linaendelea kutolewa na Wakazi wa Ndulilo -Itete kata ya Lufingo ambapo barabara kwa kiwango cha Lami inaendelea Kujengwa umbali wa Km 11 hii ni pamoja na usimikaji wa taa za barabarani.


Furaha itazidi kuongezeka mara baada ya kukamilika mradi wa  maji Mbaka- -Tukuyu Mjini ambapo ujenzi unaendelea (Ujenzi wa tanki Msasani)  na baadhi ya maeneo wanaendelea kupata maji kupitia mradi huu. Miradi mingine ni pamoja na Mradi wa maji  Ikuti-Lyenje,  Igalamo, Swaya. Masoko Group na Mradi wa maji Isaka kata ya Nkunga .


Baada ya serikali kutoa pikipiki kwa watalamu wa kilimo , Wakulima wanaopata huduma ya ughani imeongezeka kutoka wakulima 66,387 mwaka 2020 mpaka kufikia 70,105 Aprili 2023.


Uwiano wa wakulima wanaotumia mbolea ya Viwandani umeongezeka kutoka 76% mwaka 2020 mpaka kufikia 81% mwaka 2023


Kutokana na serikali kutoa Ruzuku katika Mbolea Mathalani Uzalishaji wa ndizi umepanda kutoka tani 352,848 mwaka 2020 hadi tani 356,404 mwaka 2022.

Ofisi ya Rais - Tamisemi

Ikulu Mawasiliano

Msemaji Mkuu wa Serikali

Renatus Mchau

RUNGWE YETU" Mbeya".

MBEYA YETU (GROUP LA MKOA WA MBEYA)

Atubonekisye Mshani

Mbeya Press Club

MBEYA YETU WOTE

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa