• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Rungwe yetu watoa msaada wa mifuko 50 ya Saruji

Imewekwa Tarehe: December 28th, 2020

Taasisi isiyo ya kiserikali ya Rungwe yetu imetoa jumla ya mifuko 50  ya saruji Kwa halmashauri ya wilaya ya Rungwe ikiwa ni  sehemu ya kuunga mkono juhudi za wananchi  katika ukamilishaji wa ujenzi wa madarasa Kwa ajili ya kidato cha kwanza mapema januari mwakani.


Akikabidhi stakabadhi ya malipo ya saruji hiyo, Mwenyekiti wa Rungwe yetu bwana Geoffrey Mwambene amesema kuwa msaada huo umetolewa Kwa lengo la kuboresha miundombinu ya ufundishaji ikiwa ni pamoja na kuinua kiwango cha ufaulu Kwa shule zote wilayani Rungwe.


Hata hivyo akipokea stakabadhi hiyo, Mkurugenzi mtendaji halmashauri ya wilaya ya Rungwe  Bi. Loema Peter amesema kuwa msaada huo umefika katika kipindi mwafaka kwani bado mahitaji na juhudi zinahitajika kukamilisha ujenzi wa madarasa Kwa lengo la kuhakikisha wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wanaanza masomo yao mapema mwakani.
"Msaada huu umefika katika mikono salama na niwahakikishie itafanya kazi iliyokusudiwa" amesisitiza.


Rungwe yetu pia imetoa mifuko 20 ya saruji Kwa halmashauri ya Busokelo.


BAADHI YA SHUGHULI ZILIZO FANYWA NA RUNGWE YETU:
1. Ugawaji wa Taulo za kike mashuleni
2.Uhamashaji KILIMO cha kahawa na parachichi Kwa wananchi
3.Ushiriki ujenzi wa choo hospitali ya wilaya Tukuyu-MAKANDANA4.Utoaji wa misaada Kwa watu kwenye mahitaji maalumu mfano Shule ya msingi KATUMBA Mchanganyiko.
5. Uhamasishaji wa wadau mbalimbali kuwekeza katika wilaya ya Rungwe.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa