• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

RUNGWE YASHIRIKI MAONESHO YA UTALII KARIBU KUSINI

Imewekwa Tarehe: November 11th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe imeshiriki Leo  tarehe 09.11.2022 katika Maonesho ya Utalii Karibu Kusini yanayoendelea katika eneo la Kihesa Kilolo Manispaa ya Iringa.


Mhe. Dkt. Pindi Chana Waziri wa Maliasili na Utalii ndiye alikuwa Mgeni Rasmi na ameyafungua Maonesho hayo mapema Leo Mchana.


Akizungumza na Wadau wa Utalii waliojitokeza kwa wingi Mhe. Chana amewakumbusha Watanzania kuwa fursa za uwekezaji zipo nyingi katika sekta ya utalii na kuwa kufanya hivyo itachochea ukuaji wa uchumi nchini.


Dk Chana amepongeza Filamu ya The Royal Tour iliyoasisiwa na kuendeshwa na Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan  kama Mhusika Mkuu kuwa imeongeza idadi ya Watalii nchini mpaka kufikia watu Million 1.34 tofauti  na hapo kabla kitecho kilichosaidia kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla.


Aidha Dk Chana ameonya tabia ya Watanzania kuharibu uoto wa asili kwa kuchoma moto na kukata miti hovyo hali inayosababisha uharibifu wa mazingira na matokeo yake  ni ukame wa kudumu, mmomonyoko wa ardhi na ukosefu wa maji.


Katika Maonesho hayo Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe Dkt Vicent Anney  kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ameutaja Mti Katembo uliopo kata ya Kisiba kuwa ndiyo Mti mnene zaidi Tanzania na kuwa ili kuunzunguka unahitaji watu  wazima 12 walioshikana mikono kwa kuzunguka.


Karibu UWEKEZE katika vivutio Wilayani Rungwe eneo ambalo kila kipande kinafaa kuwekeza mtaji wako kwa faida lukuki.


Kwa gharama ya Kawaida kila Mtanzania anaweza kutembelea vivutio vyetu RUNGWE. Mtu mzima ni shilingi 2000 chini ya miaka 18 ni shilingi 1000 chini ya miaka mitano ni Bure. Watalii toka nje ya nchi ni Dola $5.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa