• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

RUNGWE YAPONGEZWA KWA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa Tarehe: March 18th, 2023

Kuelekea miaka miwili tangu Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan  aingie madarakani na kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Chama cha Mapinduzi  (CCM)Taifa kimefanya ziara katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe na kukagua miradi ya maendeleo ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama hicho tawala nchini.



Bi.Happynes Sule Katibu Msaidizi Mkuu idara ya Itikadi na Uenezi Taifa ndiye aliyeongoza timu hiyo na kujionea namna miradi hiyo  ilivyotekelezwa kwa kishindo.


Akiwa katika jengo la wagonjwa wa dharura -EMD hospitali ya wilaya Tukuyu maarufu kama Makandana Bi. Sule ameshukuru kwa hatua ya ujenzi wa jengo hilo iliyofikiwa na kuwa wananchi waendelee kuiunga serikali kwa miradi mingine inayoendelea kwa kuchangia nguvu zao sambamba na kuitunza ili idumu kwa muda mrefu.


Amesema serikali imetoa kiasi cha shilingi million 300 kwa ajili ya ujenzi wa jengo hilo hali itakayoongeza ufanisi na uhakika wa matibabu kwa wagonjwa.


Aidha amewaagiza watumishi katika hospitali hiyo kuzingatia weledi na maadili ya taaluma yao ili thamani ya fedha iliyotolewa na serikali ilingane na kiwango cha huduma kinachotolewa kwa wagonjwa.


Katika hatua nyingine Bi.Sule amepongeza Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Rungwe, Baraza la Madiwani, Menejimenti, Watumishi pamoja na wakazi wote wa wilaya ya Rungwe kwa kusimamia vizuri miradi ya maendeleo sambamba na utekelezaji wa ilani ya chama cha Mapinduzi -CCM


Matangazo

  • TANGAZO KWA WATUMISHI WOTE December 14, 2022
  • KUITWA KAZINI NAFASI YA KAZI KATIBU MAHSUSI III March 01, 2023
  • FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO ZILIZOPOKELEWA KWA KIPINDI CHA MWEZI MARCH HADI JUNE, 2022 July 04, 2022
  • TANGAZO LA ZABUNI May 25, 2022
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • ZAHANATI YA SUMA YASOMA MAPATO NA MATUMIZI

    March 22, 2023
  • RUNGWE YAPONGEZWA KWA UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO

    March 18, 2023
  • ASANTE MAMA YETU

    March 15, 2023
  • RUNGWE CHAGUO LAKO HAKIKA

    March 14, 2023
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa