• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

RUNGWE YAENDELEA NA MAFUNZO YA ELIMU WATU WAZIMA

Imewekwa Tarehe: October 14th, 2022

ELIMU YA WATU WAZIMA YAZIDI KUPANUKA RUNGWE


Halmashauri ya Rungwe imeendelea kuboresha mazingira mazuri kwa kutoa elimu bora dhidi ya watu wazima ambao kutokana na sababu mbalimbali hawakupata elimu katika mfumo rasmi.


Elimu ya watu wazima ni mfumo wa utoaji elimu kupitia Kisomo chenye manufaa, Kisomo Cha kujiendeleza, MEMKWA, Shule huria, vituo vya ufundi- stadi, Mpango wa uwiano kati ya jamii na elimu ya watu wazima (MUKEJA) na taarifa ya lishe na Chanjo shuleni.


Kupitia MUKEJA jumla ya wanafunzi  461 wanaendelea na Masomo katika vituo mbalimbali ambapo hujifunza maarifa na ujuzi katika shule za Msingi na Sekondari ambapo wametengewa madarasa maalumu ambapo hufundishwa  baada ya muda wa kawaida.


Baadhi ya Mafunzo ni pamoja kusoma, kuandika na kuhesabu (KKK), mafunzo ya kilimo bora, ufugaji wa wanyama na samaki pamoja na ujasiriamali.


Shule zinazofundisha ni pamoja na Kanyegele, Iponjola, Lyenje, Ikuti, Bulongwe na zingine shule 33


Mwalimu Thomas Mwanga ni Afisa Elimu ya Watu wazima katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe na  ametaja baadhi ya mafanikio ya Mpango huu kuwa ni pamoja na kudahili wanafunzi wa kike 39 katika shule ya Sekondari Kiwira ambao  walikatisha Masomo kutokana na sababu mbalimbali na Sasa wanaendelea na Masomo katika shule hiyo.


Mwanga ameeleza kuwa katika kituo cha Kanyegele licha ya kujifunza Masomo ya darasani wanafunzi wameanza kulima viazi mviringo ikiwa ni elimu kupitia Mpango wa MUKEJA wanayopewa darasani huku Syukula wakifuga samaki na Iponjola wakipanda zao la parachichi.


Kupitia elimu ya watu wazima jumla ya wanafunzi 33 wananufaika na elimu ya MEMKWA, 276 Elimu Masafa, 172 Shule huria, na  577 vyuo vya ufundi-.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa