• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

RUNGWE RAHA UKOSE NINI

Imewekwa Tarehe: October 2nd, 2021

Noah Kibona, Rungwe DC

:Takribani Km 14 kutoka Tukuyu mjini  barabara ya Busokelo unakutana na makao makuu ya kata ya Kisiba Boma la zamani la  utawala wa serikali ya ukoloni wa Kijerumani kabla ya kuhamia Tukuyu na mpaka sasa majengo yapo.

Mto Mbaka ndio mpaka wa Halmashauri ya Busokelo na Rungwe ambao unakadiliwa kuwa na urefu wa Km 100 kutoka chanzo chake mlima Rungwe kuelekea ziwa Nyasa.

Kando ya mto huu mita kadhaa juu ya kivuko cha KIBUNDUGULU (kiteputepu) kuna chemichemi ya maji ILWALILO.ILWALILO kwa lugha ya wenyeji "Wanyakyusa" humanisha eneo la kupata matibabu.

Simulizi za wakazi wa eneo hili kijiji  cha Lwifwa (Isesero) wanataja kuwa awali kabla na baada ya ukoloni eneo hili lilitumiwa kuondolea mikosi na magonjwa ya ngozi kama upele, ukoma na mengine mengi.

Chemichemi hii iliyojitokeza katika uoto wa asili ina maji ya moto masaa 24 na wenyeji huyatumia kwa shughuli za kitabibu na kuogelea kama sehemu ya burudani hasa kutokana na kuwa na maji ya moto na uvuguvugu pale yanapokutana na mkondo wa maji baridi.

Safari ya kufika eneo hili inakuleta kwa kupitia kivuko cha kibundugulu au kupitia shule ya msingi Masoko, - mti katembo- Shule ya msingi Isesero mpaka maji maji moto Ilwalilo.

Viuvutio vingine vilivyopo katika kata hii ni pamoja na ziwa kisiba, Mti mnene zaidi Nyanda za juu kusini - Katembo, Maporomoko ya maji Mwandambo, Maporomoko ya maji Isabula, Kaburi na boma la Chifu tajiri zaidi Wilaya ya Rungwe wakati wa ukoloni-Mwakatumbula, Boma la Wajerumani na Utamaduni wa kabila la Kinyakyusa.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa