• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

Rungwe kunyweni maziwa.

Imewekwa Tarehe: October 6th, 2022

" Wakazi wa  Wilaya ya Rungwe tuache kuchanganya maji na maziwa tunayaondolea ubora na tunashindwa kuaminika na wawekezaji katika sekta maziwa"


Maneno hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe.Dkt. Vicent Anney wakati  wa hafla maalumu ya kuhitimisha  Mradi wa Tanzania Milk Processing  Project  (TMPP) Kanda ya nyanda za juu kusini.


TMPP iliyochini ya Heifer International imedumu katika wilaya ya Rungwe kwa muda wa miaka miwili.


Dkt. Anney ameshukuru Mradi wa TMPP kwa kazi kubwa ulioifanya katika kuboresha na kuongeza uzalishaji wa maziwa,  kuongeza usawa wa kijinsia katika ufugaji na uzalishaji wa maziwa mpaka kufikia asilimia 40%,  Ujenzi wa matanki ya kukusanyia maziwa na keni za kubebea maziwa, Gari la kukusanyia maziwa, na ugawaji wa Ng'ombe bora na  elimu ya ugani kwa wafugaji.


Aidha ameishukuru kampuni ya ASAS Dairies kwa kuendelea kukusanya maziwa kwa wingi  kupitia AMCOS mbalimbali na mfugaji mmoja mmoja na kuaigiza kampuni hiyo kuendelea  kuboresha Bei ya maziwa kwa Lita  ili kuongeza tija na maendeleo kwa dhahabu hiyo nyeupe Wilayani Rungwe.


Kampuni ya ASAS tayari imefikisha mitambo ya kusindika maziwa katika kiwanda chake kilichopo Kijiji Cha Ilenge kata ya Kyimo na itaanza kufungwa mapema Mwezi huu.


Zaidi ya asilimia 40% ya maziwa yanayosindikwa  kupitia kampuni ya ASAS- Iringa huzalishwa Wilayani Rungwe kupitia wafugaji waliowezeshwa na Heifer International kupitia Mradi wa TMPP.


Wakati huohuo Dkt. Anney ameagiza wakazi wote Wilayani Rungwe  kuhakikisha wanaboresha lishe kwa familia kwa kuhakikisha wanapatiwa maziwa kila siku na hivyo kuondokana na utapiamlo na udumavu hasa kwa watoto.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa