• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

RUNGWE DC YAKUSANYA MAPATO KWA ASILIMIA 99

Imewekwa Tarehe: September 29th, 2021

Mbele ya Mkutano maalumu wa Baraza la Madiwani leo tarehe 29/09/2021 Mweka Hazina Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe Bw. Lucas Ndombele amearifu kuwa kwa mwaka fedha 2021/2021 Halmashauri imeweza kusimamia vizuri ukusanyaji wa mapato na kukusanya jumla ya shilingi  za kitanzania Billion  5,253,153,343 kati ya lengo la Shilingi Billion  5,371119,322 sawa na asilimia 99.Kati ya hizo fedha Shilingi  Billion  2,015,117,330 zilitokana na mapato fungwa (CHF, papo kwa papo, NIHF na ada za shule) huku shilingi  Billion 3,238,036,013 zikitokana na vyanzo mbalimbali vya Halmashauri.

Mapato hayo yameiwezesha Halmashauri ya wilaya ya Rungwe kuongeza mali za kudumu kama majengo, gari na pikipiki, mitambo  na mashine, samani na vifaa, vitabu, kompyuta na nyingine nyingi yenye thamani ya zaidi ya shilingi billion 4 kwa mwaka wa fedha 2020/21.

Moja ya majengo ni pamoja shule ya msingi Isyonje na Isuga, kituo cha afya Mpuguso, Ujenzi wa ofisi ya kata kiwira pamoja na stendi ya madukani, Ujenzi wa bweni katika shule ya sekondari Nkunga na Nuru Eng. Medium, Ujenzi wa kitega uchumi stendi ya mabasi, ujenzi wa soko la Mwambenja, Ukarabati chumba cha maiti- kituo ch afya Masukulu, Ukarabati jengo la mama na mtoto -Makandana, ukarabati wa nyumba za watumishi na mengine mengi.

Katika Mkutano huo Kaimu Mkurugenzi  Halmashauri ambaye pia ni Afisa utumishi wilaya Bwana Polycarp Ntapanya amearifu kuwa ifikapo kesho tarehe 30/9/2021 stendi ya daladala iliyopo Tukuyu mjini itaanza kufanyiwa ukarabati mkubwa ili kuwezesha wanufaika kuanza kuitumia katika hali ya unadhifu.

Aidha Mkuu wa wilaya ya Rungwe Mhe. Vicent Anney ameagiza watu wote kuacha kutorosha mapato ili kuijengea uwezo serikali kuwaletea maendeleo endelevu na hivyo kutoa  huduma stahiki kwa watu wake.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa