• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe |
Rungwe District Council
Rungwe District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa naSerikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Uchumi na Takwimu
      • Fedha na Biashara
      • Kilimo, U mwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo na Ustawi wa Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Usafishaji na Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Tehama na Mahusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Utunzaji Nyuki
  • Uwekezaji
    • Uzalishaji wa Maziwa
    • Kiwanda Cha Matunda
    • Vivutio vya Uwekezaji
  • Huduma
    • Maji
    • Elimu
    • Afya
    • Miundombinu
    • Ardhi na Maliasili
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba
      • Mikutano ya Madiwani
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sera
    • Fomu za Maombi
    • Katiba Pendekezwa
    • Mihutasari
  • Kituo cha Habari
    • Video
    • Maktaba ya Picha
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Umma
    • Matukio
    • Habari
    • Makala

RC AKABIDHI GARI KIKUNDI CHA WANAWAKE

Imewekwa Tarehe: March 9th, 2023

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mheshimiwa Juma zuberi Homera amekabidhi basi la abiria kwa kikundi cha wanawake Miujiza kilichopo Katumba kata ya Ibighi.


Tukio hilo limefanyika  leo katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Wanawake duniani ambapo kimkoa yamefanyika  wilayani  Rungwe katika  stendi ya daladala Tukuyu Mjini.


Basi hilo limekopeshwa kwa kikundi hicho kama mkopo unaotolewa na Halmashauri ikiwa  ni  asilimia 10% ya mapato yake ya ndani ambapo pamoja na hayo jumla ya vikundi 15 vimekopeshwa mkopo wenye thamani ya shilingi million 186 kwa robo ya pili.


Katika maadhimisho hayo Mhe.Homera ameishukuru Halmashauri kwa kuendelea kutoa mikopo kwa vikundi mbalimbali kwa kila robo na kuwa hali hiyo itaenda kuinua kipato cha kaya na jamii kwa ujumla.


Hata hivyo ameviagiza vikundi hivyo kuendelea kurejesha mikopo hiyo kwa wakati kwani hutolewa bila riba na hulenga kuwafikia walengwa wengi zaidi.


Katika hatua nyingine Mhe.Homera ameikumbusha jamii kuendelea kulinda haki za wanawake na watoto ili kuleta ustawi bora katika jamii.


Amesema jamii yoyote ili iendelee inahitaji mazingira mazuri yaliyoboreshwa kwa ajili ya Wanawake na Watoto hivyo kila mtu hana budi kupinga vitendo vya kikatili na unyanyasaji vinavyoendelea dhidi ya makundi hayo katika maeneo yetu.


Maadhimisho hayo yaliyokuwa na kauli mbiu iliyolenga kuwajengea uwezo wanawake katika sekta ya teknolojia yameshuhudiwa na maandamano ya wanawake kutoka wilaya zote, vikundi  vya burudani, maonesho ya bidhaa za wajasiriamali, ushauri wa kisheria pamoja na upimaji wa afya ya binadamu.

 

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE SEMINA NAFASI YA WAANDISHI WASAIDIZI NA BVR December 19, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA AKIBA NAFASI YA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI December 19, 2024
  • TANGAZO BARAZA LA MADIWANI April 27, 2021
  • TANGAZO LA AJIRA ZA MKATABA June 10, 2021
  • Onesha Vyote

Habari Mpya

  • BLAC MAENDELEO YAHITIMISHA MAFUNZO KWA WAKAZI WA WILAYA YA RUNGWE

    May 02, 2025
  • CHANJO YA POLIO KUTOLEWA MEI MOSI

    April 16, 2025
  • KAMATI YA SIASA YAPONGEZA MIRADI

    April 15, 2025
  • MIKOPO YA ASILIMIA KUMI YAWANUFAISHA WANANCHI

    April 07, 2025
  • Onesha Vyote

Video

Vivutio vya Utalii
Picha Mjongeo Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa
  • TAMISEMI

Vinganishi Linganifu

  • OR TAMISEMI
  • Wizara ya Elimu na Ufundi
  • Sekretarieti ya Ajira Utumishi wa Umma

Kipimo cha Wateja Duniani

world map hits counter

Wateja Waliotembelea

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Tukuyu Mjini-Mkabala na Benki ya NMB

    Sanduku la Posta: Box 148

    Simu: 025 255 2586

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: ded@rungwedc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Huruhusiwi
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki Miliki ©2021 GWF. Haki Zimehifadhiwa